LIVE MBEYA CITY VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 10:00 Jioni.

LIVE SIMBA VS POLISI TANZANIA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 1:00 Usiku. 

12 Wafariki ajali ya basi la Frester

Filed in Habari by on 09/02/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

12 Wafariki ajali ya basi la Frester

12 Wafariki ajali ya basi la Frester

12 Wafariki ajali ya basi la Frester

TANZIA: Watu 12 wamefariki Dunia na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa katika ajali ya Barabarani iliyohusisha basi la abiria la kampuni ya Frester lililokuwa likitokea Bukoba kwenda Dar es salaam kugongana uso kwa uso na Lori lenye shehena ya saruji.

Ajali hiyo imetokea saa sita usiku wa kuamkia leo February 9, 2023 katika Kijiji Cha Silwa Pandambili barabara kuu ya Dodoma – Morogoro.

Chanzo cha ajali hiyo kimedaiwa ni dereva wa basi hilo kutaka kulipita gari lililokuwa mbele yake bila kuchukua tahadhari.

Mkuu wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Kamishna Awadh Haji amefika eneo la ajali na kutoa rai kwa madereva kuzingatia usalama na sheria za barabarani.

Katibu Tawala mkoa wa Dodoma Dk Fatma Mganga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambapo watu 12 wamepoteza maisha.MAJINA YA AJARI YA GARI YA FRESTER

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

DONWLOAD NIJUZE TV HAPA SISI kwetu Michezo ndiyo Furaha YETU.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *