Abdallah Hamis atambulishwa Simba SC
SHINDA 50,000 BURE KILA SIKU BONYEZA HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Abdallah Hamis atambulishwa Simba SC
Abdallah Hamis atambulishwa Simba SC, Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji, Abdallah Hamisi Riziki kama mchezaji huru kwa Mkataba wa miaka miwili kutoka Orapa United ya Botswana.
Abdallah Hamisi Riziki mwenye umri wa miaka 24 amewahi kuvichezea Vilabu vya Muhoroni Youth FC, Sony Sugar, Tusker United na Bandari FC za Kenya, Orapa United ya Botswana na awali Biashara United ya Mara,
Abdallah Hamisi Riziki ambaye ni mrithi wa Jonas Mkude aliyesajiliwa Yanga, ametua Simba ili kuongezea nguvu kwenye safu yao ya Kiungo kuelekea msimu mpya wa 2023/2024.
Ujio wa Abdallah Hamisi Riziki utaongeza chachu ya ushindani kwenye eneo hilo, akiungana na Sadio Kanoute, Mzamiru Yassin, Nassor Kapama na Fabrice Ngoma kwenye eneo hilo.
Abdallah Hamisi Riziki anakuwa Mchezaji mpya wa Saba kusajiliwa na Simba kuelekea msimu mpya wa 2023/2024, baada ya Mshambuliaji Shaban Idd Chilunda kutoka Azam FC, Kiungo Farbice Luamba Ngoma kutoka Al Hilal ya Sudan na beki Che Fondoh Malone Junior kutoka Cotton Sport ya Cameroon.
Wengine ni Beki wa Kulia David Kameta aliyerejeshwa kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro alipokuwa kwa mkopo, kiungo Mshambuliaji, Aubin Kramo Kouamé kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Mshambuliaji, Leandre Essomba Willy Onana kutoka Rayon Sport ya Rwanda.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- KIKOSI cha Yanga SC msimu wa 2023/2024
- KIKOSI cha Simba SC msimu wa 2023/2024
Abdallah Hamis atambulishwa Simba SC, Abdallah Hamisi Riziki Simba SC,Abdallah Hamisi Riziki Simba SC,Abdallah Hamis Simba, Abdallah Hamis Mchezaji mpya Simba, usajili Simba yamsajili Abdallah Hamis, Abdallah Hamisi Riziki ni mnyama, Abdallah Hamis Mchezaji mpya Simba SC,Abdallah Hamisi Riziki Simba Sports Club Tanzania.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: Abdallah Hamis atambulishwa Simba SC, Abdallah Hamis Mchezaji mpya Simba, Abdallah Hamis Mchezaji mpya Simba SC, Abdallah Hamis ni mnyama, Abdallah Hamis Simba, Abdallah Hamis Simba SC, Abdallah Hamis Simba Sports Club Tanzania., Shabani Idd Chilunda Simba SC, usajili Simba yamsajili Abdallah Hamis