Afunga ndoa na wanawake watatu siku moja
SHINDA 50,000 BURE KILA SIKU BONYEZA HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Afunga ndoa na wanawake watatu siku moja
Afunga ndoa na wanawake watatu siku moja, Mwanamume mmoja aitwaye Athumani Yengayenga mwenye umri wa miaka 35, mkazi wa Shanwe Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, amewashangaza watu wengi kwa kuamua kufunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja huku akidai lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo.
Hali hiyo imeibua maswali na mshangao kwa wakazi wa Mpanda na jamii kwa ujumla ambapo baadhi ya watu wamesema tukio hilo nila kwanza kutokea kwa Katavi na Tanzania kwa ujumla.
- NAFASI za Kazi Halmshauri ya Jiji la Dar es Salaam Leo July 2023
- TAMISEMI Yatangaza Ajira mpya za Afya July 2023
- NAFASI mpya za Kazi za Walimu Serikalini Leo July 2023
Akizungumzia ndoa yake Bwana harusi huyo amesema kuwa ameamua kufanya hivyo kutokana na maumivu aliyoyapata mwanzo ya kuachwa na mke mmoja Aliyekua amemuoa.
Amesema baada ya kuachwa na mke wake huyo aliona kuna umuhimu wa kuoa wanawake wanne ili ikitokea ameachwa na mmoja atabakia na wake watatu ndipo alipoanza kazi ya kuwatafuta wanawake hao kwa nyakati tofauti.
Amesema kuwa alitumia saa nne kukaa kikao na wanawake hao ili kuwashawishi wakubaliane na wazo lake la kufunga ndoa na wote watatu kwa siku moja hivyo kufikia Julai 8,2023 alifanikiwa kufunga ndoa hiyo katika msikiti mkubwa wa ijumaa uliopo mjini Mpanda.
Wanawake hao wamesema kuwa wamefurahi kuolewa na wanaona jambo la kawaida japo mwanzo ilikua ni jambo gumu kulipokea hasa kwa mke mkubwa alipofikishiwa suala hilo na mume wake.
Mashaka Kakulukulu ni Shekh wa Mkoa wa Katavi amekili kufungisha ndoa hiyo huku akidai imefuata taratibu zote za dini na ametofautisha muda katika kufungisha ndoa hiyo.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
