Ahmed Ally azungumzia Usajili Simba
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Ahmed Ally azungumzia Usajili Simba
Ahmed Ally azungumzia Usajili Simba, Tetesi za Usajili Simba Sports Club, tetesi za Usajili Simba SC, tetesi za Usajili Simba, tetesi za Usajili Simba Sc 2022/2023, tetesi za Usajili NBC Premier League 2022/2023, tetesi za Usajili Tanzania.
- NECTA Matokeo ya Darasa la Saba 2022/2023
- MAJINA ya Wanafunzi na Shule walizochaguliwa form one 2023
- KOMBE la Dunia LIVE Kwenye Nijuze Habari APP
tetesi za Usajili Ligi Kuu, tetesi za Usajili Ligi Kuu ya Tanzania, dondoo za Usajili NBC Premier League 2022/2023, dondoo za Usajili Simba SC, Usajili Msimbazi, Usajili Simba SC, Usajili Simba Sports Club, Usajili Simba Tanzania.
Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amesema kuwa wamejipanga kutumia vyema dirisha dogo la usajili ili kufanya maboresho muhimu ya kikosi chao.
Ahmed amesema kuwa wataleta Wachezaji wa daraja la juu kabisa ambao watashirikiana na waliopo katika kutimiza Malengo ya Klabu ya Simba msimu huu wa 2022/2023.
“Usajili wa dirisha dogo lazima ulete watu kweli, watu ambao watakuwa na mchango mkubwa kwenye timu. Kwa sababu kwenye dirisha dogo husajili wachezaji wengi, labda wawili, watatu, mmoja lakini jambo muhimu lazima wachezaji hao waje waongeze kitu kwa hawa walipo“
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- Msimamo Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
- Simba yapangwa kundi C CAF Champions League 2022/2023 tazama droo kamili hapa
“Wachezaji wetu wamepambana kutufikisha hatua ya makundi michuano ya ligi ya mabingwa hivyo mchezaji atakayesajiliwa lazima awe na mchango mkubwa kwenye mechi hizo za hatua ya makundi. Kwa hiyo niwahakikishie Wanamsimbazi, lazima tulete watu,” alitamba Ahmed
Aidha Simba inahusishwa na wachezaji kadhaa katika dirisha hili lakini Cesor Manzoki, Saido Ntibazonkiza na Luis Miquissone wametajwa zaidi na taarifa zaidi ambazo nijuzehabari inazo ni kuwa Manzoki na Ntibazonkiza tayari wamemaliza na Wekundu hao.
- Yanga yapangwa kundi D CAF Confederation Cup 2022/2023 tazama droo kamili hapa
- RATIBA ya Yanga CAF Confederation Cup 2022/2023 hatua ya Makundi
- RATIBA ya Simba CAF Champions League hatua ya Makundi
- PATA bonasi hadi 230000 na Helabet Tanzania
- JINSI ya kuweka Pesa Helabet Tanzania
- Jinsi ya kujisajili na HELABET Tanzania
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
Donwlod HAPA SISI kwetu Michezo ndo Furaha yetu.
Nipashe Michezo, Nijuze Michezo, Simba sc leo, Global Publishers michezo, saleh jembe michezo, Yanga leo, Shaffih dauda michezo, michezo, Magazeti, Usajili, Habari.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: Ahmed Ally azungumzia Usajili Simba, dondoo za usajili NBC Premier League 2022/2023, dondoo za Usajili Simba SC, Global Publishers michezo, Habari, Magazeti, Michezo, Nijuze Michezo, Nipashe Michezo, saleh jembe michezo, Shaffih dauda Michezo, Simba sc leo, tetesi za Usajili Ligi Kuu, tetesi za Usajili Ligi Kuu ya Tanzania, Tetesi za Usajili NBC Premier League 2022/2023, Tetesi za Usajili Simba, Tetesi za Usajili Simba SC, tetesi za Usajili Simba Sc 2022/2023, Tetesi za Usajili Simba Sports Club, Tetesi za Usajili Tanzania, Usajili, Usajili Msimbazi, Usajili Simba SC, Usajili Simba Sports Club, Usajili Simba Tanzania., Yanga leo