Alichokisema Kocha Miguel Gamondi baada ya kuwasili Tanzania
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Alichokisema Kocha Miguel Gamondi baada ya kuwasili Tanzania

Alichokisema Kocha Miguel Gamondi baada ya kuwasili Tanzania
Alichokisema Kocha Miguel Gamondi baada ya kuwasili Tanzania, Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC, Miguel Gamondi amesema kuwa ana furaha kujiunga na Mabingwa wa Tanzania Bara kwa misimu miwili mfululizo na yuko tayari kuanza majukumu yake.
Gamondi amesema kuwa ameifuatilia Yanga iliposhiriki Michuano ya CAF msimu uliopita na alifurahishwa na maendeleo na mipango ya timu.
“Nafurahi kujiunga na Yanga, nimeifuatilia Yanga na najua malengo makuu msimu huu ni kufanya vizuri kwenye Ligi ya Mabingwa. Pia nimefurahishwa na mikakati ya timu wakati nilipozungumza na Rais”
“Naamini baada ya kupata mapumziko kutokana na kufanya kazi mfululizo katika nchi mbalimbali, huu ni wakati sahihi kupata changamoto mpya”
“Nipo hapa kufundisha kandanda safi, kuwapa furaha mashabiki na kushinda makombe, naamini tunaweza kufanikiwa malengo yetu,” amesema Gamondi
Baada ya Gamondi kutua, wakati wowote Yanga itatangaza benchi lake la ufundi tayari kuanza maandalizi ya msimu mpya wa 2023/w024 ambapo wachezaji wanatarajiwa kuingia kambini Avic Town keshokutwa Jumatatu.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: Alichokisema Kocha Miguel Gamondi baada ya kuwasili Tanzania