Azam FC yatupwa Ethiopia, Singida Zanzibar CAF Confederation Cup 2023/24
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Azam FC yatupwa Ethiopia, Singida Zanzibar CAF Confederation Cup 2023/24

Azam FC yatupwa Ethiopia, Singida Zanzibar CAF Confederation Cup 2023/24
Azam FC yatupwa Ethiopia, Singida Zanzibar CAF Confederation Cup 2023/24, Klabu ya Azam FC itaanzia ugenini katika michuanoya Kombe la Shirikisho Barani Afrika kwa kucheza dhidi ya Bahir Dar Kanema ya Ethiopia, katika mchezo wa Mzunguuko wa Kwanza.
Mchezo wa awali unatarajiwa kuchezwa kati ya Agosti 18 hadi 20, 2023 ugenini kabla ya mechi ya marudiano kupigwa kati ya Agosti 25 hadi 27, Azam Complex.
Mshindi wa jumla wa mchezo huo, atakutana na Club Africain ya Tunisia, kwenye raundi ya pili na atakayevuka hapo atatinga hatua ya Makundi ya michuano hiyo.
Wakati huo huo Klabu ya Singida Big Stars au Singida Fountain Gate FC, ambayo itashiriki kwa mara ya kwanza Michuano ya CAF, imepangwa kucheza dhidi ya JKU ya Zanzibar.
Mchezo wa mkondo wa kwanza Singida Big Stars itakuwa nyumbani Tanzania Bara, kisha itakwenda kumalizia Zanzibar.
Mshindi wa jumla wa mchezo huo atakutana na Future SC ya Misri.
Ikumbukwe kuwa washindi wa michezo ya mzunguuko wa pili hatua ya Kwanza katika Michuano ya Kombe la Shirikisho watakwenda moja kwa moja hatua ya makundi kwa mujibu wa kanuni mpya za michuano hiyo.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: Azam FC yatupwa Ethiopia, Singida Zanzibar CAF Confederation Cup 2023/24