Nijuze Habari App

Azam yasajili Kocha wa Makipa na Video Analyst

Filed in Usajili, Michezo by on 04/07/2023 0 Comments
Share This
 

SHINDA 50,000 BURE KILA SIKU BONYEZA HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Azam yasajili Kocha wa Makipa na Video Analyst

Azam yasajili Kocha wa Makipa na Video Analyst, Klabu ya Azam FC imewatambulisha wataalamu wawili wapya kwenye benchi lao la ufundi.

Mmoja ni Kocha wa Makipa Khalifa Ababakar Fall na Ibrahim Diop ambaye ni Mchambuzi wa mechi (Video Analyst).

Azam yasajili Kocha wa Makipa na Video AnalystWawili hao wanaungana na Msenegal mwenzao, Youssouph Dabo ambaye ndiye Kocha Mkuu mpya wa Azam FC, wote wakisaini mkataba wa miaka mitatu kila mmoja.

Hiyo ni baada ya Azam kulibomoa benchi lake la Ufundi kwa kuwaondosha Kaimu Kocha Mkuu, Kali Ongala, Msaidizi wake, Aggrey Morris, Kocha wa Makipa, Mspaniola Dani Cadena na kocha wa Fiziki, Mtunisia Dk. Moadh Hiraoui.

Azam yasajili Kocha wa Makipa na Video AnalystAzam pia imeachana Wachezaji wake sita hadi sasa, ambao ni kipa Wilbol Maseke, mabeki Bruce Kangwa, Kenneth Muguna, Cleophace Mkandala, Ismail Aziz na Mzambia, Rodgers Kola, huku ikisajili viungo wawili tu, Feisal Salum na Gibrill Sillah.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *