Nijuze Habari App

Fabrice Luamba Ngoma atambulishwa Simba SC

Filed in Michezo, New, Usajili by on 14/07/2023 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Fabrice Luamba Ngoma atambulishwa Simba SC

Fabrice Luamba Ngoma atambulishwa Simba SC

Fabrice Luamba Ngoma atambulishwa Simba SC

Fabrice Luamba Ngoma atambulishwa Simba SC, Klabu ya Simba SC imemtambulisha Kiungo, Farbice Luamba Ngoma kutoka Al Hilal ya Sudan kuwa mchezaji wao mpya kuelekea msimu ujao wa 2023/2024.

Ngoma mwenye umri wa miaka 29 raia wa DR Congo amejiunga na Simba kwa mkataba wa miaka miwili.

Ngoma ni mchezaji mzoefu ambaye anaweza kucheza kama kiungo mkabaji huku akiwa na uwezo mkubwa wa kupiga pasi kwa usahihi kutoka nyuma hadi mbele kwa washambuliaji.

Ngoma ni mchezaji mwenye wasifu mkubwa katika soka la Afrika na ambapo ataongeza kitu kikubwa kwenye kikosi cha Simba kuelekea msimu ujao wa mashindano 2023/2024.

Fabrice Luamba Ngoma atambulishwa Simba SC, Simba yamsajili Fabrice Luamba Ngoma,Fabrice Luamba Ngoma Simba SC,Fabrice Luamba Ngoma Simba, Fabrice Luamba Ngoma Mchezaji mpya Simba, usajili Simba yamsajili Fabrice Luamba Ngoma,Fabrice Luamba Ngoma ni mnyama,Fabrice Luamba Ngoma Mchezaji mpya Simba SC.Ngoma anakumbukwa kwa kiwango bora alichoonyesha mwaka 2018 akiwa katika kikosi bora cha AS Vita Club kilichocheza Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Raja Casablanca huku akifunga bao la tatu.

Mbali na Al Hilal na AS Vita, Ngoma ambaye ana urefu wa futi sita pia amewahi kuzitumikia klabu za Raja Casablanca (Morocco), Al Fahaheel FC (Kuwait) na Ifeanyi Ubah FC (Nigeria).

Aidha Simba imesema kuwa Ngoma atasafiri pamoja na Wachezaji wengine waliokuwa wamebaki kuelekea nchini Uturuki kujiunga na Wachezaji wanaoendelea na kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano wa 2023/2024.

Fabrice Luamba Ngoma atambulishwa Simba SC, Simba yamsajili Fabrice Luamba Ngoma,Fabrice Luamba Ngoma Simba SC,Fabrice Luamba Ngoma Simba, Fabrice Luamba Ngoma Mchezaji mpya Simba, usajili Simba yamsajili Fabrice Luamba Ngoma,Fabrice Luamba Ngoma ni mnyama,Fabrice Luamba Ngoma Mchezaji mpya Simba SC.

Fabrice Luamba Ngoma atambulishwa Simba SC

Fabrice Luamba Ngoma anakuwa Mchezaji mpya wa tano kusajiliwa na Simba kuelekea msimu mpya wa 2023/2024, baada ya beki, Che Fondoh Malone Junior kutoka Cotton Sport ya Cameroon na Beki wa Kulia David Kameta aliyerejeshwa kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro alipokuwa kwa mkopo.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Wengine ni kiungo Mshambuliaji, Aubin Kramo Kouamé kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Mshambuliaji, Leandre Essomba Willy Onana kutoka Rayon Sport ya Rwanda.

Fabrice Luamba Ngoma atambulishwa Simba SC, Simba yamsajili Fabrice Luamba Ngoma,Fabrice Luamba Ngoma Simba SC,Fabrice Luamba Ngoma Simba, Fabrice Luamba Ngoma Mchezaji mpya Simba, usajili Simba yamsajili Fabrice Luamba Ngoma,Fabrice Luamba Ngoma ni mnyama,Fabrice Luamba Ngoma Mchezaji mpya Simba SC.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags: , , , , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *