Feisal atengewa dau nono
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Feisal atengewa dau nono
Usajili Yanga, tetesi za Usajili Yanga SC, Tetesi za Usajili Young Africans, Usajili Young Africans, Feisal Salum Abdallah, Feisal Salum ‘fei toto’ Feisal Salum Yanga, Feisal Salum Azam FC, Feisal Salum Berkane, Tetesi za Usajili Azam FC, tetesi za Usajili Feisal Salum.

Feisal atengewa dau nono
Klabu ya Yanga inajipanga kumuongezea mkataba kiungo wake mshambuliaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ ambaye amekuwa na mchango mkubwa kwenye kikosi cha Yanga msimu huu akifunga mabao matano na kutoa pasi mbili za mabao (asisit).
Thamani ya Feisal inazidi kupanda, huku ofa zikiendelea kumiminika Jangwani kwaajili ya kuisaka saini ya Mzanzibar huyo.
Pamoja na kuwa bado ana mkataba zaidi ya mwaka mmoja pale Jangwani lakini mazungumzo yameanza ili kumuongezea mkataba ambao utaboresha maslahi yake mara dufu.
Aidha Klabu Azam FC inatajwa kuiwinda saini yake huku wakiweka ofa nono na mshahara mkubwa ambao ni zaidi ya Tsh Milioni 10 kwa mwezi.
Ofa nyingine inatajwa kutoka Klabu ya RS Berkane ya Morocco.
Rais wa Yanga Injinia Hersi Said amesisitiza kuwa hawatamzuia Feisal kujiunga na timu nyingine kama watapokea ofa sahihi lakini wangependelea kuona anatoka nje ya mipaka ya Afrika.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- NECTA Matokeo ya Darasa la Saba 2022/2023
- MAJINA ya Wanafunzi na Shule walizochaguliwa form one 2023
- KOMBE la Dunia LIVE Kwenye Nijuze Habari APP
- Msimamo Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
- Simba yapangwa kundi C CAF Champions League 2022/2023 tazama droo kamili hapa
- Yanga yapangwa kundi D CAF Confederation Cup 2022/2023 tazama droo kamili hapa
- RATIBA ya Yanga CAF Confederation Cup 2022/2023 hatua ya Makundi
- RATIBA ya Simba CAF Champions League hatua ya Makundi
- PATA bonasi hadi 230000 na Helabet Tanzania
- JINSI ya kuweka Pesa Helabet Tanzania
- Jinsi ya kujisajili na HELABET Tanzania
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
Donwlod HAPA SISI kwetu Michezo ndo Furaha yetu.
Nipashe Michezo, Nijuze Michezo, Simba sc leo, Global Publishers michezo, saleh jembe michezo, Yanga leo, Shaffih dauda michezo, michezo, Magazeti, Usajili, Habari.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: Feisal atengewa dau nono, Feisal Salum 'fei toto' Feisal Salum Yanga, FEISAL Salum Abdallah, Feisal Salum Azam FC, Feisal Salum Berkane, Global Publishers michezo, Habari, Magazeti, Michezo, Nijuze Michezo, Nipashe Michezo, saleh jembe michezo, Shaffih dauda Michezo, Simba sc leo, tetesi za Usajili Azam FC, tetesi za Usajili Feisal Salum., Tetesi za Usajili Yanga SC, Tetesi za Usajili Young Africans, Usajili, Usajili Yanga, Usajili Young Africans, Yanga leo