Hussein Kazi atambulishwa Simba SC
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Hussein Kazi atambulishwa Simba SC

Hussein Kazi atambulishwa Simba SC
Hussein Kazi atambulishwa Simba SC, Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili beki wa kati Hussein Kazi kutoka Geita Gold FC kwa mkataba wa miaka miwili.
Hussein mwenye umri wa miaka 23 amecheza soka la kulipwa nchini Shelisheli katika klabu ya Forester FC kabla ya kurejea Tanzania kujiunga na Mbeya Kwanza, Polisi Tanzania na Geita Gold FC.
Katika eneo la mlinzi wa kati, Hussein anaungana na wazoefu Henock Inonga, Kennedy Juma na Che Fondoh Malone.
Hussein Kazi anakuwa Mchezaji mpya wa nane kusajiliwa na Simba kuelekea msimu mpya wa 2023/2024, baada ya kiungo mkabaji, Abdallah Hamis kutoka Orapa United ya Botswana, Mshambuliaji Shaban Chilunda kutoka Azam FC.
Wengine ni Kiungo Farbice Luamba Ngoma kutoka Al Hilal ya Sudan na beki Che Fondoh Malone Junior kutoka Cotton Sport ya Cameroon.
Wengine ni Beki wa Kulia David Kameta aliyerejeshwa kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro alipokuwa kwa mkopo, kiungo Mshambuliaji, Aubin Kramo Kouamé kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Mshambuliaji, Leandre Essomba Willy Onana kutoka Rayon Sport ya Rwanda.
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- KIKOSI cha Yanga SC msimu wa 2023/2024
- KIKOSI cha Simba SC msimu wa 2023/2024
Hussein Kazi atambulishwa Simba SC, Hussein Kazi Simba SC,Hussein Kazi Simba SC,Hussein Kazi Simba, Hussein Kazi Mchezaji mpya Simba, usajili Simba yamsajili Hussein Kazi, Hussein Kazi ni mnyama, Hussein Kazi Mchezaji mpya Simba SC,Hussein Kazi Simba Sports Club Tanzania.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: Hussein Kazi atambulishwa Simba SC, Hussein Kazi Mchezaji mpya Simba, Hussein Kazi Mchezaji mpya Simba SC, Hussein Kazi ni mnyama, Hussein Kazi Simba, Hussein Kazi Simba SC., Hussein Kazi Simba Sports Club Tanzania., usajili Simba yamsajili Hussein Kazi