LIVE MBEYA CITY VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 10:00 Jioni.

LIVE SIMBA VS POLISI TANZANIA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 1:00 Usiku. 

IGP Wambura afanya Mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa May 2023

Filed in Habari by on 16/05/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

IGP Wambura afanya Mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa May 2023

IJP Wambura afanya Mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa May 2023

IGP Wambura afanya Mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa May 2023

MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillius Wambura amefanya Mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa kwa kuwahamisha na wengine kupangiwa majukumu mengine.

Mabadiliko hayo yamefanyika Jana May, 15, 2023 katika Ofisi ya Mkuu wa Jeshi hilo Makao Makuu ya Polisi Dodoma.

Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi Dodoma, David A.Misime- SACP amesema katika Mabadiliko hayo IGP Camillius Wambura amemhamisha Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Longinus Alexander Tibishibwamu (RPC) kwenda Makao Makuu ya Polisi Dodoma.

Nafasi ya ACP Longinus inachukuliwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Salum Ramadhani Morcase ambaye alikuwa Makao Makuu ya Polisi Dodoma.

Pia amemhamisha aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Geofrey Sarakikya kwenda Makao makuu ya Polisi Dodoma.

Nafasi ya Sarakikya inachukuliwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Michael Njera ambaye alikuwa Makao Makuu ya Polisi Dodoma.

Msemaji huyo wa Jeshi la Polisi amesema aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Hamis Issah amehamishiwa Makao Makuu ya Polisi na nafasi yake imechukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Upelekezi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Makuri Imori.

David amesema aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Simiyu amehamishiwa mkoa wa Kagera kuwa Kamanda wa Polisi wa mkoa huo na nafasi yake inachukuliwa na aliyekuwa Afisa Mnadhimu Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Edith Swebe.

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Willium Mwampagale amehamishwa kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Kaskazini Pemba.

IGP Wambura afanya Mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa May 2023, Mkuu wa polisi mpya,Kamanda wa polisi dar es salaam,Orodha ya makamanda wa polisi tanzania, Makamanda wa polisi mikoa,Wakuu wa polisi wa mikoa.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags: , , , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *