Nijuze Habari App

JINSI ya Kujiunga na JKT

Filed in Makala by on 02/03/2023 1 Comment
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


 

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Jinsi ya Kujiunga na JKT

Jinsi ya Kujiunga na JKT, How to Join JKT Tanzania, Sifa za Kujiunga na JKT, Umri wa JKT, JKT Tanzania, Nafasi za kazi JKT Tanzania 2023, Jinsi ya Kujiunga na JKT 2023 How to Join JKT Tanzania – Complete Guide, Jinsi ya Kujiunga na JKT 2023 How to Join JKT Tanzania

Jinsi ya Kujiunga na JKT, How to Join JKT Tanzania, Sifa za Kujiunga na JKT, Umri wa JKT, JKT Tanzania, Nafasi za kazi JKT Tanzania 2023, Jinsi ya Kujiunga na JKT 2023 How to Join JKT Tanzania – Complete Guide, Jinsi ya Kujiunga na JKT 2023 How to Join JKT Tanzania, How to Join Complete Guide, Jinsi ya Kujiunga na JKT 2023, How to Join JKT Tanzania,www.jkt.go.tz matangazo,Nafasi za kujiunga na JKT 2022/2023 pdf,Fomu ya kujiunga na JKT 2023,Faida za kujiunga na jkt,nafasi za kujiunga na jkt 2022/2023,Kambi Za JKT Tanzania,Mafunzo ya jkt,Nafasi za kujiunga na JKT 2023 zinatoka lini,Vifaa vya kujiunga na jkt,JKT Tanzania,Jkt ilianzishwa mwaka gani,Historia ya jkt,Makao makuu ya jkt dodoma,Tofauti ya jkt na jwtz,Kambi Za JKT Tanzania.

Jinsi ya Kujiunga na JKT

VIJANA WA JESHI LA KUJENGA TAIFA

Jeshi la Kujenga Taifa limekuwa chimbuko la kuandaa vijana kuajiriwa na vyombo vya Ulinzi na Usalama nchini kama JWTZ, Polisi, Magereza, Usalama wa Taifa na taasisi binafsi za ulinzi.

Hivyo Jeshi la Kujenga Taifa linachukua vijana wa kujitolea na mujibu wa Sheria na kuwaanda vijana kuwa jamii yenye kutekeleza wajibu na moyo wa kupenda kufanya kazi.

Masharti ya kijana wa kujitolea kwaajili ya kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa.

1.Awe raia wa Tanzania

2.Awe na Umri kati ya miaka 18-23

3.Awe amemaliza darasa la saba na kuendelea

4.Asiwe ameoa au kuolewa na asiwe na mtu yeyote anayemtegemea

5.Awe tayari kufuata sheria zote za kijeshi zitazokuwa juu yake wakati akiwa Jeshini(kutoroka,wizi,ulevi,uvutaji bangi, madawa ya kulevya na upatikanaji wa mimba n.k) Jeshini ni makosa makubwa na utaweza kushtakiwa na kufutiwa mkataba na JKT.

6.Awe tayari kurudi nyumbani baada ya kumaliza mkataba wake na Jeshi la Kujenga Taifa

7.Awe na tabia na mwenendo mzuri

Jinsi ya Kujiunga na JKT, How to Join JKT Tanzania, Sifa za Kujiunga na JKT, Umri wa JKT, JKT Tanzania, Nafasi za kazi JKT Tanzania 2023, Jinsi ya Kujiunga na JKT 2023 How to Join JKT Tanzania – Complete Guide, Jinsi ya Kujiunga na JKT 2023 How to Join JKT Tanzania, How to Join Complete Guide, Jinsi ya Kujiunga na JKT 2023, How to Join JKT Tanzania,www.jkt.go.tz matangazo,Nafasi za kujiunga na JKT 2022/2023 pdf,Fomu ya kujiunga na JKT 2023,Faida za kujiunga na jkt,nafasi za kujiunga na jkt 2022/2023,Kambi Za JKT Tanzania,Mafunzo ya jkt,Nafasi za kujiunga na JKT 2023 zinatoka lini,Vifaa vya kujiunga na jkt,JKT Tanzania,Jkt ilianzishwa mwaka gani,Historia ya jkt,Makao makuu ya jkt dodoma,Tofauti ya jkt na jwtz,Kambi Za JKT Tanzania.

Jinsi ya Kujiunga na JKT

Masharti ya kijana na mujibu wa sheria kwaajili ya kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa.

1.Awe raia wa Tanzania

2.Awe na Umri kati ya miaka 18-35

3.Awe amemaliza kidato cha sita na kuendelea

4.Awe tayari kufuata sheria zote za kijeshi zitazokuwa juu yake wakati akiwa jeshini(Uvutaji bang, madawa ya kulevya na upatikanaji wa mimba atashitakiwa na kufutiwa mkataba na JKT

5.Utoro haukubaliki na kosa la utoro mkataba utasogezwa mbele

6.Awe na tabia na mwenendo mzuri

UJUE UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JKT.

JKT huandikisha vijana wa kujitolea kutoka mikoa yote ya hapa nchini kila mwaka. Utaratibu unaotumika ni kwa JKT kuandika barua kwa wakuu wa Mikoa na kuanisha nafasi ambazo mkoa umetengewa.

Baada ya Mkoa kupata barua kutoka kwa Mkuu wa JKT na idadi ya nafasi za vijana waliopangiwa kujiunga. Mkoa hugawa nafasi hizo kulingana na wilaya zake.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Pia wilaya zinatakiwa kupeleka katika tarafa, kata na vijiji.Mara nyingi uongozi wa wilaya hubandika tangazo la nafasi hizo katika ubao wao wa matangazo.

JKT hutangaza nafasi za kujiunga na Jeshi hilo kupitia vyombo vya habari vya Serikali na binafsi kwa nia ya kuharakisha taarifa zinamfikia kila mwananchi hasa vijana.

Usaili wa awali hufanyika chini ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya wanakotoka vijana hao, baadae hufanyika mkoani, ili kupata idadi ya vijana wa mkoa mzima.

Zoezi hilo linapokamilika mikoani, JKT hutuma timu za maafisa na askari kutoka Makao Makuu ya JKT kwaajili ya kuhakiki vijana waliosailiwa katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

Vijana hupimwa afya zao na kusafirishwa katika vikosi vya JKT.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags: , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , ,

About the Author ()

Comments (1)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. Anold Mgumba says:

    Naitwa Anord mgumba npo mkoa wa iringa maombi na kujiunga na Jkt umri 21 kwa mwaka wa 2023/24

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *