LIVE USM ALGER VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 4:00 Usiku.

LIVE MAN CITY VS MAN UNITED Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 11:00 Jioni.

Kassim Dewji ang’atuka Simba Sports Club

Filed in Michezo by on 06/02/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

Kassim Dewji ang’atuka Simba Sports Club

Kassim Dewji ang'atuka Simba Sports Club

Kassim Dewji ang’atuka Simba Sports Club

Kassim Dewji ambaye ni Kiongozi Mwandamizi ndani ya Simba SC ametanga kustaafu ngazi zote za kuteuliwa au kuchaguliwa ndani ya Klabu hiyo yenye makazi yake mtaa wa Msimbazi Jijini Dar es salaam Leo Jumatatu tarehe 6 February, 2023

Kassim Dewji alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, akirithi mikoba hiyo kutoka kwa Zacharia Hanspope aliyefariki Dunia.

Kassim Dewji amesema kuwa anatastaafu ngazi zote za uongozi ndani ya Simba kutokana na Majukumu ya Kibiashara na Kifamilia.

Dewji katika barua yake amesema kuwa ni wakati mwafaka yeye kama Mzee kupumzika katika nafasi za uendeshaji na maamuzi katika klabu hiyo Pendwa.

Kupitia barua yake kwenda Simba Sports Club Kassim Dewji ameandika;

Kassim Dewji ang'atuka Simba Sports Club

Kassim Dewji ang’atuka Simba Sports Club

“Nikiwa mwanachama na kiongozi mstaafu katika nafasi tofauti tofauti katika kipindi chote naomba kukujulisha kuwa kutokana na majukumu ya kibiashara na kifamilia nitastaafu ngazi zote za kuteuliwa au kuchaguliwa”

“Nimekuwa katika Familia ya Simba kwa muda mrefu toka mwaka 1989 nimefurahi Mafanikio mengi katika kipindi hicho nimefanikiwa kuwaandaa Viongozi mbalimbali katika nyadhifa tofauti kuiongoza Simba

“Simba Spots Club ni Klabu kubwa na inachangamoto nyingi katika kipingi hiki inahitaji Vijana katika kuliongoza Jahazi hili”

“Ni wakati mwafaka sisi Wazee tupumzike katika nafasi za Uendeshaji na maamuzi katika klabu yetu Pendwa”

Kassim Dewji ang'atuka Simba Sports Club

Kassim Dewji ang’atuka Simba Sports Club

“Badala yake tubakie katika nafasi ya kushauri ikihitajika. Naomba nichukue nafasi hii kuwashukuru Wanachama na Wapenzi wote wa Simba Sports Club kwa Ushirikiano walionipa nikiwa katika Uongozi kwa miaka yote 25 pia nawashukuru wote walionipa Ushauri na kunikosoa pale walipoona nakwenda tofauti na maono yao”

“Hakika nimefurahia Maisha ndani ya Simba na nastaafu nikielewa ni muda mwafaka” amesema Kassim Dewji.

Kassim Dewji ni moja ya viongozi wenye alama kubwa ndani ya klabu ya Simba kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa akiwa katika nafasi mbalimbali.

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

DONWLOAD NIJUZE TV HAPA SISI kwetu Michezo ndiyo Furaha YETU.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *