KIKOSI Cha Simba SC Kinachosafiri kwenda Uturuki 2023
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
KIKOSI Cha Simba SC Kinachosafiri kwenda Uturuki 2023

KIKOSI Cha Simba SC Kinachosafiri kwenda Uturuki 2023
KIKOSI Cha Simba SC Kinachosafiri kwenda Uturuki 2023, Msafara wa Wachezaji cha Simba pamoja na benchi la ufundi unatarajiwa kuondoka nchini leo Jumanne kuelekea nchini Uturuki kwaajili ya maandalizi ya msimu mpya (pre-season 2023/2024).
Baada ya ratiba ya mechi za Ngao ya Jamii kutoka, Simba itakuwa na takribani wiki nne za maandalizi kabla ya kuivaa Singida Fountain Gate FC katika mchezo wa Nusu Fainali ambao utapigwa August 10 katika uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.
Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya hiyo, Ahmed Ally amesema kuwa bado hawajamaliza utambulisho, kuna wachezaji wengine wanasubiri kutambulishwa.
“Tunaondoka leo kwenda Uturuki kambini, wachezaji wetu wote watakwenda kushiriki kambi hiyo ya maandalizi. Kocha Robertinho na benchi lake la ufundi wote wako hapa tayari kwa safari”
“Wachezaji wanne wapya tuliowatambulisha nao watajumuika katika kikosi chetu kinachokwenda Uturuki. Bado hatujamaliza, kuna vyuma vingine viwili tutavitambulisha,” amesema Ahmed
Simba itakuwa Uturuki kwa muda wa wiki tatu na itarejea nchini August 01 kwaajili ya Tamasha la SIMBA DAY ambapo tarehe ya tukio hilo kubwa zaidi la michezo ukanda wa Afrika Mashariki bado haijatangazwa.
Ikiwa Uturuki Simba inatatajiwa kucheza mechi tatu za Kimataifa za kirafiki.
Kikosi Cha Simba kinachotarajiwa kusafiri kwenda nchini Uturuki kwaajili ya pre-season ni;
MAKIPA
- Ally Salim
- Ahmed Feruzi
MABEKI
- Shomari Kapombe
- Mohamed Hussein
- Henock Inonga
- David Kameta
- Israel Mwenda
- Kennedy Juma
- Jimson Mwanuke
- The Fondoh Malone Junior
- WACHEZAJI wapya wa Simba 2023/2024
VIUNGO
- Claoutas Chma
- Sadio kanoute
- Mzamiru Yassin
- Nassoro Kapama
- Aubin Kramo Kouamé
- Saido Ntibanzonkinza
- Peter Banda
- Pape Osmane Sakho
WASHAMBULIAJI
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- Willy Essomba Onana
- Baleke Othos Baleke
- John Raphael Bocco
- Moses Phiri
- Kibu Denis
- Mohamed Mussa
KIKOSI Cha Simba SC Kinachosafiri kwenda Uturuki 2023, KIKOSI Cha Simba kinaenda Ururuki 2023, Kikosi cha Simba kitakachoweka kambi Ururuki 2023, Kikosi cha Simba kinachokwenda Ururuki pre-season 2023,Simba kucheza mechi tatu Uturuki, Simba kucheza mechi tatu za Kirafiki Uturuki.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
