Nijuze Habari App

KIKOSI Cha Yanga kilichoifuata Al Hilal Omduraman Sudan

Filed in Michezo by on 14/10/2022 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


 

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

KIKOSI Cha Yanga kilichoifuata Al Hilal Omduraman Sudan

KIKOSI Cha Yanga kilichoifuata Al Hilal Omduraman Sudan

KIKOSI Cha Yanga kilichoifuata Al Hilal Omduraman Sudan

KOCHA Mkuu wa Young Africans SC, Nasreddine Nabi ametaja majina ya Wachezaji 25 wanaosafiri Alfajiri ya Jumamosi hii kuelekea nchini Sudan kwaajili ya mchezo wa Marudiano dhidi ya Al Hilal Omduraman October 16 2022.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Katika Mchezo wa kwanza uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, ulimalizika kwa sare ya bao 1-1, hivyo Yanga SC kuwa na ulazima wa kushinda au kupata sare ya mabao 2-2 ili kufuzu hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.

Kiungo Abubakar Salum ‘Sure Boy’ ameondolewa kwenye safari hiyo baada ya kuugua Malaria na daktari kushauri abaki kwaajili ya Matibabu zaidi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags: , , , , , , , , , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *