KIKOSI Cha Yanga kilichoifuata Al Hilal Omduraman Sudan
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
KIKOSI Cha Yanga kilichoifuata Al Hilal Omduraman Sudan

KIKOSI Cha Yanga kilichoifuata Al Hilal Omduraman Sudan
KOCHA Mkuu wa Young Africans SC, Nasreddine Nabi ametaja majina ya Wachezaji 25 wanaosafiri Alfajiri ya Jumamosi hii kuelekea nchini Sudan kwaajili ya mchezo wa Marudiano dhidi ya Al Hilal Omduraman October 16 2022.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
Katika Mchezo wa kwanza uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, ulimalizika kwa sare ya bao 1-1, hivyo Yanga SC kuwa na ulazima wa kushinda au kupata sare ya mabao 2-2 ili kufuzu hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.
Kiungo Abubakar Salum ‘Sure Boy’ ameondolewa kwenye safari hiyo baada ya kuugua Malaria na daktari kushauri abaki kwaajili ya Matibabu zaidi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Tags: 2022, Al-Hilal vs Young Africans Line Up, Kikosi Cha Yanga kilichoenda Sudan, KIKOSI Cha Yanga kilichoifuata Al Hilal Omduraman CAF Champions League, KIKOSI Cha Yanga kilichoifuata Al Hilal Omduraman Sudan, Kikosi cha Yanga kinachosafiri kuifata AL Hilal, Kikosi cha Yanga Sc vs Al-Hilal leo 16 October 2022 Young Africans Squad, Kikosi cha Yanga vs Al-Hilal Leo, Line Up Yanga vs Al-Hilal October 16, Travelling Squad, Yanga Line Up VS Al-Hilal, Yanga vs Al Hilal, Yanga Vs Al-Hilal Leo 16 0ctober 2022 CAF Champions League Yanga Line Up VS Al-Hilal 16 0ctober 2022 CAF Champions League Yanga Line Up VS Al-Hilal Kikosi Cha Yanga VsAl-Hilal