Nijuze Habari App

KISINDA ruksa kukipiga Yanga SC

Filed in Usajili by on 15/09/2022 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

KISINDA ruksa kukipiga Yanga SC

Tuisila Kisinda Yanga SC, Tuisila Kisinda arejea Yanga, Tuisila Kisinda arejea Young Africans, Tuisila Kisinda, Tuisila Kisinda Yanga, Kisinda Yanga SC, Kisinda arejea Yanga, TK Master arejea Yanga SC, TK Master arejea Young Africans.

KISINDA ruksa kukipiga Yanga SC

KISINDA RUKSA YANGA

 

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepitisha usajili wa Tuisila Kisinda kuichezea Klabu ya Yanga SC baada ya klabu hiyo kumuhamisha Mchezaji wake wa kigeni Lazarous Kambole.

Awali kamati hiyo ilizuia Usajili wa Kisinda licha ya kuwa ulifanyika ndani ya Dirisha la Usajili kwa vile tayari Yanga SC ilikuwa na wachezaji 12 wa kigeni.

Licha ya changamoto hiyo, pia Kisinda aliombewa Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ambayo tayari imepatikana.

Hivyo kwa kumuhamisha kambole Yanga imepata nafasi ya kumsajili Kisinda kama ilivyokuwa imeshauriwa huko nyuma.

Kwa mujibu wa kanuni ya 62(1) ya Ligi Kuu Toleo la 2022, Klabu inaruhusiwa kusajili wachezaji wa kigeni wasiozidi 12.

Taarifa hiyo kutoka TFF imesema kuwa Kambole amejiunga na timu ya Wakiso Giants inayocheza Ligi Kuu ya Uganda, na tayari TFF imetoa ITC.

Tuisila Kisinda Yanga SCYanga ilimrejesha Kisinda mwenye umri wa miaka 22 kutoka RS Berkane ya Morocco, iliyomsajili kutoka Yanga SC August 13,2021 pamoja na Clatous Chama wa Simba SC.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags: , , , , , , , , , , , , , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *