KITAYOSCE FC Tabora yapanda Ligi Kuu 2023/2024

Filed in Michezo by on 14/05/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

KITAYOSCE FC Tabora yapanda Ligi Kuu 2023/2024

KITAYOSCE FC Tabora yapanda Ligi Kuu 2023/2024

KITAYOSCE FC Tabora yapanda Ligi Kuu 2023/2024

TIMU ya Kitayosce FC imepanda daraja hadi Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara msimu wa 2023/2024 baada ya Ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya African Sports ya Tanga, mchezo uliopigwa Jana May 13, 2023 Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora.

Baada ya Ushindi huo Kitayosce ilifikisha pointi 60 ikiwa pointi ni moja zaidi ya Pamba FC ya Mwanza ambayo pia ilishinda mabao 2-1 dhidi ya Fountain Gate Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza.

Kitayosce inaungana na JKT Tanzania FC ambao ni Mabingwa wa Championship waliomaliza kwa Ligi hiyo kwa 63 kupanda Ligi Kuu ya NBC 2023/2023?

Katika hatua nyingine, Pamba FC iliyomaliza nafasi ya 3 itacheza na Mashujaa FC iliyomaliza nafasi ya nne na mshindi wa jumla kwenye michezo miwili atacheza na timu iliyoshuka kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kuwania kupanda Ligi Kuu.

Play Off ya Ligi ya NBC itazikutanisha (home and away) timu zitakazomaliza nafasi za 13 na 14, na Mshindi wa jumla atabaki Ligi Kuu, anayeshindwa atashuka moja kwa moja na atakutana na Mshindi kati ya Pamba na Mashujaa kuwania kupanda Ligi Kuu ya NBC.

Gwambina na Ndanda FC zilizojitoa Ligi hiyo zimeshuka, wakati Copco, Green Warriors, Pan African na Africans Sports zitakwenda kwenye mchujo wa kuwania kubaki Championship.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *