LIVE AL AHLY VS WYDAD AC Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 3:00 Usiku. 

Kocha Mpya Simba awasili Tanzania

Filed in Michezo, Usajili by on 10/11/2021 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

Matokeo Mlandege FC vs Yanga SC November 09,2021

KOCHA mpya wa Klabu ya Simba SC, Pablo Franco Martine amewasili nchini Tanzania leo asubuhi kwaajili kuanza majukumu yake ndani ya kikosi hicho chenye makazi yake mtaa wa Msimbazi Jijini Dar es salaam.

Soma: Magazeti ya Tanzania Jumatano November 10,2021

Pablo amewasili nchini akitokea kwao nchini Hispania kupitia Dubai-Zanzibar kisha Jijini Dar es Salaam na kupokelewa na Mratibu wa Simba, Abbas Seleman.

Soma: Matokeo ya Darasa la Saba 2021

Kocha huyo aliambatana na Wakala wake ambaye ni raia wa Kenya, ambapo anatarajiwa kusaini mkataba kabla ya kutambulishwa rasmi.

Soma: Simba yasajili kocha Mpya

Kocha Pablo kwa mara ya kwanza amekutana na makocha wasaidizi wa Simba SC Thierry Hitimana na Seleman Matola.

Kocha Simba azungumza kwa Mara ya kwanza

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags: , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *