KOCHA Simba atua Wydad Casablanca

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


KOCHA Simba atua Wydad Casablanca

KOCHA Simba atua Wydad Casablanca
MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afika, Wydad Casablanca wamemtangaza Sven Vandenbroeck kuwa Kocha wao Mkuu wa akichukua mikoba ya Juan Carlos Garido aliyebwaga manyanga.
Sven ametua Wydad AC akitokea Abha inayoshiriki Ligi Kuu ya Saud Arabia, ambapo katika mechi sita alizoiongoza timu hiyo alishinda mmoja, sare moja na kupoteza mechi nne.
Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji mwenye umri wa miaka 43 amewahi kuifundisha Simba SC mwaka 2019 hadi 2021 kabla ya kutimkia Morocco kwenye Klabu ya FAR Rabat na baadae Saudia Arabia.
Kibarua chake cha kwanza kitakuwa mchezo wa Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini.
Miongoni mwa Masharti aliyopewa Sven ili apewe Mkataba wa kudumu ni kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Morocco (Botola Pro League) pamoja na kuifikisha Wydad Fainali ya CAF Champions League 2022/2023.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- MFUMO wa maombi ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA) Online
- JINSI ya kupata mikopo ya vijana na wanawake
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.