MABADILIKO ya Ratiba raundi ya 29 na 30 NBC Premier League 2022/2023

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


MABADILIKO ya Ratiba raundi ya 29 na 30 NBC Premier League 2022/2023

MABADILIKO ya Ratiba raundi ya 29 na 30 NBC Premier League 2022/2023
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetoa taarifa kuwa timu zote zinazoshiriki Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2022/2023 zitacheza michezo yao ya mwisho (mzunguko wa 30) Juni 9, 2023 ili kutoa nafasi kwa klabu ya Young Africans kucheza michezo yake miwili ya Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika Mei 28 na Juni 3, 2023 dhidi ya klabu ya USM Algiers ya nchini Algeria.
Kwa mujibu wa ratiba ya Ligi Kuu ya NBC iliyotumwa kwa klabu hivi karibuni na kutangazwa kwa umma, michezo ya mwisho kwa klabu zote (ukiondoa Tanzania Prisons na Young Africans) ilipangwa kufanyika Mei 28, 2023.
Aidha Bodi imelazimika kufanya mabadiliko hayo baada ya majadiliano ya ndani yaliyojikita katika kuhakikisha uwepo wa haki na usawa michezoni kwa kuondoa mazingira yanayoweza kuchangia upangaji wa matokeo katika michezo hiyo.

MABADILIKO ya Ratiba raundi ya 29 na 30 NBC Premier League 2022/2023
Mabadiliko hayo yanakwenda sambamba na mabadiliko ya tarehe ya michezo ya mzunguko wa 29 ambapo sasa timu zote zitacheza Juni 6, 2023.
Bodi inatambua kuwa klabu zilianza kufanya maandalizi ya michezo hiyo kwa tarehe zilizotangazwa awali na kwa masikitiko inafahamu kuwa mabadiliko haya yanaweza kuathiri maandalizi hayo kwa namna moja ama nyingine.
Hata hivyo, Bodi inapenda kuufahamisha umma kuwa imelazimika kufanya mabadiliko hayo kwa maslahi mapana ya Ligi na mpira wetu kwa ujumla.
Bodi inazitakia klabu zote maandalizi mema ya michezo iliyosalia na kila la kheri katika kukamilisha msimu wa 2022/2023.
MABADILIKO ya Ratiba raundi ya 29 na 30 NBC Premier League 2022/2023, Msimamo NBC Premier League,Simba NBC Premier League fixtures,NBC League table,NBC fixtures,Yanga NBC Premier League fixtures,Ligi Kuu Bara 2022/2023 live scores, results, Football Tanzania,NBC Premier League 2022/2023 Table & Standings, NBC Premier League, NBC Premier League 2023,Tanzania Premier League.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA
Tags: Football Tanzania, Ligi Kuu Bara 2022/2023 live scores, MABADILIKO ya Ratiba raundi ya 29 na 30 NBC Premier League 2022/2023, Msimamo NBC Premier League, NBC fixtures, NBC League table, NBC Premier League, NBC Premier League 2022/2023 Table & Standings, NBC Premier League 2023, Results, Simba NBC Premier League fixtures, Tanzania Premier League, Yanga NBC Premier League fixtures