MAJINA ya Washindi wa twenzetu kwa MADIBA

Filed in Michezo by on 12/05/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

MAJINA ya Washindi wa twenzetu kwa MADIBA

MAJINA ya Washindi wa twenzetu kwa MADIBA

MAJINA ya Washindi wa twenzetu kwa MADIBA

KLABU ya Young Africans ilitangaza fulsa kwa watu 10 kusafiri na kikosi kuelekea Afrika Kusini kushuhudia mchezo wa mkondo wa pili Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup 2022/2023) kati ya Marumo Galants dhidi ya Young Africans ambao utapigwa May 17,2023.

Washindi wa Safari hiyo tayari wamepatikana kupitia Droo Kubwa ya Twenzetu kwa MADIBA iliyokuwa inafanyika kila siku.

Washindi hao wamepatikana kupitia Shindano ambalo lilifanyika Kupitia Menu ya malipo kwenye simu za mikononi, ambapo ulikuwa unachagua LIPA BILI kwenye Simi yako, kisha unaingiza namba ya kampuni 553111.

Namba ya kumbukumbu unaandika YANGA au 111 kisha uweka kiasi cha Shilingi 2,000 tu alafu unthibitisha malipo yako na kuingiza nambari ya siri.

Kadiri ulivyokuwa unavyoshiriki mara nyingi ndivyo ulivyokuwa unajiongezea nafasi ya kushinda Safari hiyo.

Hii ni listi ya Wananchi 10 walioshinda safari hiyo

1:Hussein Misembe – Dar es salaam
2:Mohamed Kisaka – Mbeya
3:Christopher Mdibwe – Geita
4:Kefa Tewele – Iringa
5:Iman Simion – Kagera
6:Said Kapacha – Dar es salaam
7:Patrick Simon – Dodoma
8:Geofrey Chapa – Rukwa
9:Dotiani Mremi – Kilimanjaro
10:Matilda Macha – Dar es salaam

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *