Nijuze Habari App

Mambo muhimu Simba ikikamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi 2022/2023

Filed in Michezo by on 06/12/2022 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Mambo muhimu Simba ikikamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi 2022/2023

Matokeo Simba Queens vs JKT Queens December 06 2022

Mambo muhimu Simba ikikamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi 2022/2023

Mambo muhimu Simba ikikamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi 2022/2023

Mambo muhimu Simba ikikamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi 2022/2023, Mambo muhimu Simba ikikamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi 2022/2023, Mchezo dhidi ya Coastal Union uliopigwa December 02,2022 kwenye Uwanja wa CCM Mkwakwani Jijini Tanga Simba wakiibuka na ushindi wa mabao 3-0 ulikuwa wa mchezo wa 15 ambao ulikamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League 2022/2023).

Feisal Salum aahidi jambo Yanga, wawili warejea, wawili kuikosa Namungo

Mpaka mzunguko wa kwanza unakamilika Klabu ya Simba SC imefanikiwa kukusanya alama 34 baada ya kucheza mechi 15, ikishinda Mechi 10, sare nne na kupoteza mchezo mmoja.

Simba pia imefanikiwa kufunga mabao 31 na kuruhusu kufungwa mabao 7 pekee ikiwa na uwiano wa mabao 24.

Wachezaji 11 wa Simba kwa pamoja ndio waliofunga idadi hiyo ya mabao huku Moses Phiri akiwa kinara baada ya kucheka na nyavu mara 10.

Hii ni listi wachezaji waliofunga katika mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League 2022/2023)

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne December 06 2022

1:Moses Phiri – 10
2:John Bocco – 4
3:Augustine Okrah – 3
4:Pape Sakho – 3
5:Habib Kyombo – 2
6;Mzamiru Yassin – 2
7:Clatous Chama – 2
8:Dejan Georgijevic – 1
9:Jonas Mkude – 1
10:Peter Banda – 1
11:Shomari Kapombe – 1

Hii ni listi ya wachezaji waliotoa pasi za mabao (assist) kwenye mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League 2022/2023)

1:Clatous Chama – 7
2:Mohamed Hussein – 4
3:Moses Phiri – 2
4:Mzamiru Yassin – 2
5:Mohamed Ouattara – 1
6:Kibu Denis – 1
7:Augustine Okrah – 1
8:Gadiel Michael – 1
9:Shomari Kapombe – 1
10:Jonas Mkude – 1
11:Sadio Kanoute – 1

Mlinda Aishi Manula amepata Clean Sheet 9 na ndiye kinara akiongoza makipa wote wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara (NBC Premier League 2022/2023).

Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam Tanzania, Founded in 1936, the club, which broke away from another Tanzania Giants, Dar Young Africans was named Queens, in honor of her Majesty, the Queen of England.
The Club had several name changes from Queens to Eagles, then, Sunderland.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *