LIVE AL AHLY VS WYDAD AC Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 3:00 Usiku. 

Matokeo Benin vs Tanzania + Msimamo

Filed in Michezo by on 10/10/2021 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Benin kwenye mchezo wa kufuzu Fainali za kombe la Dunia mwaka 2022 nchini Qatar.

Mchezo huo ulichezwa kwenye dimba la Stade de I’amitie Mathieu Cotonou nchini Benin leo Jumapili October 10,2021 kuanzia majira ya saa 10:00 jioni.

Goli pekee na la ushindi la Tanzania limekwamishwa wavuni katika kipindi cha kwanza na Mshambuliaji Simon Msuva kwenye dakika ya 6’ kwa mkwaju mkali uliomshinda mlinda mlango wa Benin.

Kwa matokeo hayo sasa Tanzania inaongoza kundi J kwa kufikisha alama 7 sawa na Benin wakitofautiana magoli ya kufunga na kufungwa.

Tanzania imebakiza mechi mbili tu kukamilisha mzungo wa kundi J dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo DRC itakayochezwa Jijini Dar, na mechi ya mwisho dhidi ya Madagascar ugenini.

Msimamo wa Kundi J, Kufuzu Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar baada ya michezo minne kwa kila timu.

 

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags: , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *