Nijuze Habari App

Matokeo KMKM FC vs Yanga SC November 12,2021

Filed in Michezo by on 12/11/2021 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

KLABU ya Young Africans SC imekamilisha michezo yake ya kirafiki visiwani Zanzibar kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya KMKM FC, mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Amaan visiwani humo leo Ijumaa November 12,2021.

Soma: Magazeti ya Ijumaa November 12,2021

Mabao ya washambuliaji Wakongomani Jesus Moloko na Fiston Kalala Mayele yametosha kuipa ushindi Klabu hiyo, huku ikitanguliwa kufungwa bao na KMKM FC kwenye kipindi cha kwanza.

Soma: Tanzania yatupwa nje kufuzu Kombe la Dunia nchini Qatar 2022

Klabu hiyo yenye makazi yake mtaa wa Jangwani Jijini Dar es salaam ilicheza mchezo wake wa kwanza wa kirafiki visiwani humo Jumanne hii na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mlandege, ushindi wa leo unafanya idadi ya michezo iliyocheza bila kufungwa kufika takribani 10.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Baada ya kukamilika kwa michezo Klabu hiyo sasa inarejea Jijini Dar es salaam kukamilisha maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC, mchezo unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi ya November 20,2021 kwenye uwanja wa Ilulu mkoani Lindi.

Soma: Matokeo ya Darasa la Saba 2021

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags: , , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *