Nijuze Habari App

Matokeo Tanzania vs Benin (Kufuzu Kombe la Dunia)

Filed in Michezo by on 07/10/2021 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

TIMU ya taifa ya Tanzania imepoteza mchezo wa kwanza wa kundi lake J kufuzu Kombe la Dunia mwakaki nchini Qatar baada ya kuchapwa 1-0 na Benin nyumbani Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam jioni ya leo.

Bao pekee la Benin limefungwa na mshambuliaji wa anayecheza klabu ya Brest inayoshiriki Ligue 1 ya Ufaransa, Steve Michel Mounié dakika ya 70.

Kwa matokeo hayo, Benin inajitanua kileleni mwa msimamo ikifikisha pointi saba katika michezo mitatu ya mwanzo, ikifuatiwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), yenye pointi tano baada ya kuichapa Madagascar mabao 2-0 leo Jijini Kinshasa.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Tanzania inayobaki na pointi zake nne, sasa inaangukia nafasi ya tatu mbele ya vibonde, Madagascar waliopoteza michezo yote mitatu ya mwanzo, moja nyumbani dhidi ya Benin na mbili ugenini kwa DRC na Tanzania.

Baada ya mchezo wa leo Tanzania itasafiri kwenda Cotonou kwaajili ya mchezo wa marudiano na Benin Jumapili hii ya October 10,2021, huku DRC ikiifuata Madagascar.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags: , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *