Matokeo Yanga SC vs Ihefu SC (ASFC)

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans SC imefanikiwa kutinga raundi ya nne ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cuo (ASFC).
Hiyo ni baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Ihefu SC ya Mbarali mkoani Mbeya kwenye Uwanja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Mabao ya Young Africans SC yamefungwa na mshambuliaji Mkongo, Heritier Ebenezer Makambo aliyefunga mabao matatu peke yake (hattrick).
Baada ya kutikisa nyavu mara tatu, Heritier Makambo alikabidhiwa mpira wake.
Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA
Tags: Azam Sports Federation Cup, Ihefu SC, Matokeo Azam Sports Federation Cup, Matokeo Yanga SC vs Ihefu SC, Yanga SC