LIVE AL AHLY VS WYDAD AC Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 3:00 Usiku. 

Matokeo Yanga SC vs Ihefu SC (ASFC)

Filed in Michezo by on 15/12/2021 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans SC imefanikiwa kutinga raundi ya nne ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cuo (ASFC).

Hiyo ni baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Ihefu SC ya Mbarali mkoani Mbeya kwenye Uwanja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.

Mabao ya Young Africans SC yamefungwa na mshambuliaji Mkongo, Heritier Ebenezer Makambo aliyefunga mabao matatu peke yake (hattrick).

Baada ya kutikisa nyavu mara tatu, Heritier Makambo alikabidhiwa mpira wake.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags: , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *