Matokeo Yanga SC vs Taifa Jang’ombe
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameanza vyema michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Taifa Jang’ombe Kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
Mabao ya Yanga SC yamefungwa na mshambuliaji Mkongo, Heritier Ebenezer Makambo dakika ya 32 na kiungo mpya, Dennis Nkane kwenye dakika ya 53.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Tags: Matokeo ya Mapinduzi Cup 2022, Matokeo Yanga SC vs Taifa Jang'ombe, Taifa Jang'ombe, Yanga SC