Nijuze Habari App

Mayele Mshambuliaji Bora NBC Premier League

Filed in Michezo by on 07/02/2022 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Young Africans SC, Fiston Kalala Mayele amechaguliwa mchezaji bora Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Januari, 2022.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Kikao cha kamati ya Tuzo cha TFF kilichokutana mwishoni mwa wiki kilichokutana mwishoni mwa juma kimemchagua Mayele baada ya kuonyesha kiwango kizuri na kuisadia timu yake kupata ushindi katika mechi mbili.

Mayele anakuwa mcheaji wa tano kushinda tuzo hiyo akiwashinda Realiants Lusajo wa Namungo Fc, Tepsea Evans wa Azam Fc, alioingia nao fainali.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags: ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *