Mayele Mshambuliaji Bora NBC Premier League
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Young Africans SC, Fiston Kalala Mayele amechaguliwa mchezaji bora Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Januari, 2022.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
Kikao cha kamati ya Tuzo cha TFF kilichokutana mwishoni mwa wiki kilichokutana mwishoni mwa juma kimemchagua Mayele baada ya kuonyesha kiwango kizuri na kuisadia timu yake kupata ushindi katika mechi mbili.
Mayele anakuwa mcheaji wa tano kushinda tuzo hiyo akiwashinda Realiants Lusajo wa Namungo Fc, Tepsea Evans wa Azam Fc, alioingia nao fainali.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: Fiston Kalala Mayele, Mayele Mshambuliaji Bora NBC Premier League