Mbeya City kucheza na Mashujaa, KMC FC yabaki Ligi Kuu ya NBC
SHINDA 50,000 BURE KILA SIKU BONYEZA HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Mbeya City kucheza na Mashujaa, KMC FC yabaki Ligi Kuu ya NBC
Mbeya City kucheza na Mashujaa, KMC FC yabaki Ligi Kuu ya NBC, Klabu ya ya KMC ya Kinondoni imefanikiwa kusalia Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Mbeya City, mchezo uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Mabao ya KMC katika mchezo huo wa marudiano wa mchujo wa kukwepa kuteremka daraja yamefungwa na Daruwesh Saliboko dakika ya 3 na Awesu Awesu dakika ya 28.
KMC inabaki Ligi Kuu kwa ushindi wa jumla wa 3-2 kufuatia kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Jumanne hii Jijini Mbeya na sasa Mbeya City itakwenda kumenyana na Mashujaa ya Kigoma kujaribu tena kubaki Ligi Kuu.
Donwload Magoli – KMC 2-0 Mbeya City – Play-Off 16-06-2023
KMC walitofautiana kwa alama moja katika Msimamo wa Ligi ya NBC 2022/2023, wakimaliza na pointi 32 huku Mbeya City wakimaliza na pointi 31.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
Mbeya City imebakiza nafasi moja ya lala salama watakapokutana na Mashujaa ya Mkoani Kigoma kucheza play off itakayoamua safari yao ya kubaki Ligi Kuu msimu ujao au kushuka mpaka Ligi ya Championship.
Mchezo huo wa muhimu kwa timu zote mbili unatarajiwa kupigwa tarehe 19 katika Uwanja wa Lake Tanganyika na ule wa marudiano utapigwa tarehe 24 June kwenye uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Tags: KMC FC yabaki Ligi Kuu ya NBC, Mbeya City kucheza na Mashujaa