Nijuze Habari App

Moussa Ndao Kocha mpya Msaidizi Young Africans 2023

Filed in Michezo, New, Usajili by on 11/07/2023 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Moussa Ndao Kocha mpya Msaidizi Young Africans 2023

Moussa Ndao Kocha mpya Msaidizi Young Africans 2023

Moussa Ndao Kocha mpya Msaidizi Young Africans 2023

Moussa Ndao Kocha mpya Msaidizi Young Africans 2023, Klabu ya Yanga imemtangaza Mshambuliaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Senegal na Wydad Casablanca ya Morocco msimu wa 1991/1992 kabla ya Al Hila ya Saudi Arabia, Moussa Ndao kuwa Kocha Msaidizi wao mpya kuelekea msimu mpya wa 2023/2024.

Ndao anasajiliwa Yanga akichukua nafasi ya aliyekuwa Kocha Msaidizi, Cedric Kaze baada ya mkataba wake kumalizika.

Moussa Ndao Kocha mpya Msaidizi Young Africans 2023Ndao ni pendekezo la Kocha Mkuu wa Young Africans, Miguel Gamonidi.

Miongoni mwa timu kubwa alizozifundisha Ndao ni Wydad Athletic msimu wa 2014 mpaka 2016 na Sportive Jeanne d’Arc pamoja na Sporting Club Chabab Mohammedia.

Uongozi wa Young Africans umemshukuru Kocha, Cedric Kaze kwa kipindi chake alichohudumu kama Kocha Msaidizi ndani ya Klabu hiyo na inamtakia kila la kheri kwenye majukumu yake mpya.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *