NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Leo May 2023

Filed in Ajira by on 26/05/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Leo May 2023

NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Leo May 2023, Kibaha DC address,Nafasi za kazi halmashauri ya Kisarawe,Nafasi za kazi Chalinze,Shule za sekondari halmashauri ya mji kibaha,Ramani ya wilaya ya Kibaha,Kata za wilaya ya kibaha, https://kibahadc.go.tz, tangazo la nafasi za kazi,nafasi za kazi h/w kibaha,Kibaha District Council, https://kibahadc.go.tz, Nafasi za Kazi Halmashauri Wilaya ya Kibaha | Jobs vacancies & careers,Nafasi za Kazi Halmashauri Wilaya ya Kibaha | Jobs vacancies & careers.

NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Leo May 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha imepokea kibali cha ajira mpya kwa mwaka wa fedha 2022/2023 chenye Kumb. Na. FA.97/228/01 “TEMP”/06 cha tarehe 06 Aprili, 2023 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora.

Kupitia kibali hicho, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Kibaha anapenda kuwatangazia wananchi wote kuomba nafasi hizo kama zilivyoorodheshwa hapa chini.

DEREVA DARAJA LA II (DRIVER II). NAFASI MBILI (02)

SIFA ZA MWOMBAJI

  • Awe amehitimu na kufaulu kidato cha nne au sita
  • Awe na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua Mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali.
  • Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya uendeshaji wa magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi stadi (VETA) au chuo chochote kinachotambulika na Serikali.

NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Leo May 2023, Kibaha DC address,Nafasi za kazi halmashauri ya Kisarawe,Nafasi za kazi Chalinze,Shule za sekondari halmashauri ya mji kibaha,Ramani ya wilaya ya Kibaha,Kata za wilaya ya kibaha, https://kibahadc.go.tz, tangazo la nafasi za kazi,nafasi za kazi h/w kibaha,Kibaha District Council, https://kibahadc.go.tz, Nafasi za Kazi Halmashauri Wilaya ya Kibaha | Jobs vacancies & careers,Nafasi za Kazi Halmashauri Wilaya ya Kibaha | Jobs vacancies & careers.KAZI NA MAJUKUMU YA DEREVA DARAJA LA II

  • Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari.
  • Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi.
  • Kufanya matengenezo madogomadogo ya gari.
  • Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali.
  • Kujaza na kutunza tarifa za safari zote katika daftari la safari.
  • Kufanya usafi wa gari; na
  • Kutekeleza majukumu mengine atakayokuwa amepangiwa na Msimamizi wake wa kazi.

Mshahara: Ngazi ya mishahara ya Serikali ya TGS B kwa mwezi.

MASHARTI YA JUMLA:

  • Awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 45.
  • Awe raia wa Tanzania.
  • Maombi yote yaambatane na nakala za vyeti vya taaluma, vyeti vya kidato cha IV au VI, cheti cha kuzaliwa na picha moja ya rangi katika barua ya maombi, pamoja na nakala ya kitambulisho cha Taifa (NIDA)
  • Aambatanishe maelezo binafsi (CV) yenye anuani na namba za simu zilizosajiliwa kwa majina yake kamili, ikiwa ni pamoja na wadhamini wawili na anuani zao kamili.
  • Aambatanishe picha mbili “Passport size” za hivi karibuni na kuandika majina yake.

Uwasilishwaji wa tarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria Watakaofaulu kuitwa kwenye usaili, majina yao yatawekwa kwenye Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Kibaha yaani: www.kibahade.go.tz
Maombi yote yatumwe kwa njia ya Posta

Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 07 Juni 2023 saa 9:30 Alasiri

Maombi yote yatumwe kwa Anuani ifuatayo:
Mkurugenzi Mtendaji (W)
Halmashauri ya Wilaya
S.L.P 30153
KIBAHA.

NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Leo May 2023, Kibaha DC address,Nafasi za kazi halmashauri ya Kisarawe,Nafasi za kazi Chalinze,Shule za sekondari halmashauri ya mji kibaha,Ramani ya wilaya ya Kibaha,Kata za wilaya ya kibaha, https://kibahadc.go.tz, tangazo la nafasi za kazi,nafasi za kazi h/w kibaha,Kibaha District Council, https://kibahadc.go.tz, Nafasi za Kazi Halmashauri Wilaya ya Kibaha | Jobs vacancies & careers,Nafasi za Kazi Halmashauri Wilaya ya Kibaha | Jobs vacancies & careers.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags: , , , , , , , , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *