Nijuze Habari App

NAFASI Za Kazi Mbinga District Council Leo November 2023

Filed in Michezo, Ajira by on 15/11/2023 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

NAFASI Za Kazi Mbinga District Council Leo November 2023

NAFASI Za Kazi Mbinga District Council Leo November 2023,Mbinga District profile,Kata za wilaya ya mbinga,Historia ya mji wa mbinga,NAFASI ZA KAZI Ruvuma 2023,Nafasi za kazi Ruvuma Coal Limited,Ajira halmashauri ya Mbinga,Mbinga ipo mkoa gani,Structure of mbinga town council,Background of MBINGA Town Council,Mbinga district council address,Namtumbo District Council,Vijiji vya wilaya ya mbinga, Halmashauri ya Wilaya Mbinga, Job Vacancies Mbinga District Council November 2023,New Government Job Vacancies Ruvuma at MBINGA District,Mbinga District Council Home.

NAFASI Za Kazi Mbinga District Council Leo November 2023,Mbinga District profile,Kata za wilaya ya mbinga,Historia ya mji wa mbinga,NAFASI ZA KAZI Ruvuma 2023,Nafasi za kazi Ruvuma Coal Limited,Ajira halmashauri ya Mbinga,Mbinga ipo mkoa gani,Structure of mbinga town council,Background of MBINGA Town Council.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma maombi kwa nafasi moja ifuatayo:-

MTENDAJI WA KIJIJI III: NAFASI 01

SIFA ZA MWOMBAJI:

Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha nne (IV) au sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/ Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI NA MAJUKUMU YA MTENDAJI WA KIJIJI III:

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 
  • Afisa Masuuli na Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Kijiji.
  • Kusimamia Ulinzi na Usalama wa raia na mali zao, kuwa Mlinzi wa Amani na Msimamzi wa Utawala Bora katika Kijiji.
  • Kuratibu na kusimamia upangaji wa Utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya Kijiji.
  • Katibu wa Mikutano na kamati zote za Halmashauri ya Kijiji. Kutafsiri na kusimamia Sera, Sheria na Taratibu.
  • Kuandaa Taarifa za Utekelezaji wa Kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa, umaskini na kuongeza uzalishaji mali.
  • Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya Kitaalam katika Kijiji.
  • Kusimamia, kukusanya na kihifadhi kumbukumbu zote na Nyaraka za Kijiji.
  • Mwenyekiti wa Kikao cha Wataalamu waliopo katika Kijiji.
  • Kupokea, Kusikiliza na Kutatua malalamiko na migogoro ya Wananchi.
  • Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.
    Kusimamia utungaji wa Sheria Ndogo za Kijiji na
  • Atawajibika Kwa Mtendaji wa Kata.

NAFASI Za Kazi Mbinga District Council Leo November 2023,Mbinga District profile,Kata za wilaya ya mbinga,Historia ya mji wa mbinga,NAFASI ZA KAZI Ruvuma 2023,Nafasi za kazi Ruvuma Coal Limited,Ajira halmashauri ya Mbinga,Mbinga ipo mkoa gani,Structure of mbinga town council,Background of MBINGA Town Council,Mbinga district council address,Namtumbo District Council,Vijiji vya wilaya ya mbinga, Halmashauri ya Wilaya Mbinga, Job Vacancies Mbinga District Council November 2023,New Government Job Vacancies Ruvuma at MBINGA District,Mbinga District Council Home.MSHAHARA:
Cheo cha Mtendaji wa Kijiji III kina mshahara wa TGS B kwa mwezi.

MASHARTI YA JUMLA:

  • Mwombaji awe Mtanzania mwenye umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 45.
  • Mwombaji aambatanishe cheti cha kuzaliwa.
  • Mwombaji ambaye ni mtumishi wa Umma apitishe maombi yake kwa mwajiri wake.
  • Mwombaji aambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (CV) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika pamoja na namba zao za simu.
  • Maombi yote yaambatane na nakala za vyeti vya Elimu na Taaluma kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
    “Testmonials”, Provisional Results” “Statements of results” nk. Hazitakubalika.
  • Waombaji waweke picha moja katika barua zao za maombi.
  • Waombaji wote ambao wamesoma nje ya nchi wahakikishe vyeti vyao vinafanyiwa ulinganishi na TCU na NECTA.
  • NAFASI Mpya za Kazi Kutoka NBC Bank Leo November 2023

Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 27/11/2023 saa 9:30 Alasili.

Barua zote zitumwe kwa anwani iliyopo hapo chini:-

Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga,
S.L.P. 194,
57483, Kigonsera, RUVUMA

DOWNLOAD PDF FILE JOB AT MBINGA DISTRICT COUNCIL

Mbinga district council address,Namtumbo District Council,Vijiji vya wilaya ya mbinga, Halmashauri ya Wilaya Mbinga, Job Vacancies Mbinga District Council November 2023,New Government Job Vacancies Ruvuma at MBINGA District,Mbinga District Council Home.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags: , , , , , , , , , , , , , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *