NASREDDINE Nabi atua AS FAR Rabat
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
NASREDDINE Nabi atua AS FAR Rabat

NASREDDINE Nabi atua AS FAR Rabat
NASREDDINE Nabi atua AS FAR Rabat, Klabu ya FAR Rabat ya Morocco imekamilisha usajili wa aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga, Nasredeen Nabi kwa mkataba wa miaka miwili wenye kipengele cha kuongeza mmoja zaidi.
Nasredeen Nabi raia wa Tunisia mwenye umri wa miaka 58 aliachana na Yanga baada ya msimu mzuri akiipa mataji yote ya nyumbani, Ngao ya Jamii, Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu Azam Sports Federation Cup (ASFC) huku akifikisha Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger ya Algeria.
Awali Nabi alikuwa akihusishwa kutua kunako klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, lakini dili hilo lilishindikana.
Baada ya dili lake na Kaizer Chiefs kufa, Nabi alikuwa akiwindwa na vilabu kama Wydad Casablanca ya Morocco pia, APR ya Rwanda, Etoile du Sahel ya Tunisia na CR Belouizdad ya Algeria.
Nabi ametua FAR Rabat akichukua mikoba ya Mohammed Aziz Samadi, ambaye aliiongoza AS FAR kutwaa taji la Morocco wiki mbili zilizopita kama Kocha wa muda.
Samadi aliiongoza klabu hiyo baada ya kikosi hicho kumfuta kazi aliyekuwa kocha wao Mkuu bwana Fernando Da Cruz.
Da Cruz alionyeshwa mlango wa kutokea baada ya klabu hiyo kutolewa kwenye Kombe la Klabu Bingwa ya Kiarabu.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
