NEW AUDIO | G Nako Ft. Rayvanny – Tusipangiane | Download Mp3

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


NEW AUDIO | G Nako Ft. Rayvanny – Tusipangiane | Download Mp3

NEW AUDIO | G Nako Ft. Rayvanny – Tusipangiane | Download Mp3
Download | G Nako Ft. Rayvanny – Tusipangiane [Mp3 Audio]
Raymond Shaban Mwakyusa (anafahamika zaidi kwa jina lake kama Rayvanny; amezaliwa 22 Agosti 1993) ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania (kwa asili ni mtu wa mkoani Mbeya).
“Rayvanny” alianza kujulikana kupitia wimbo wake “Kwetu”[1] si siku nyingi sana tangu Harmonize atoe wimbo wake wa Bado.
Baadaye Natafuta Kiki, Sugu ambayo imetolewa kama wimbo wa ziada tu hasa ukizingatia umechukua biti ya Bow Wow (What’s My Name). Halafu Mbeleko, Shikwambi, Zezeta na Kijuso aliyoimba na Queen Darleen, Pochi Nene aliyoimba na s2kizzy na baadaye Mwanza wimbo ambao aliimba na msanii mwenzie Diamond Platnumz. Wimbo huo ulifungiwa na Baraza la Sanaa nchini Tanzania BASATA kutokana na kutokuwa na maadili mema hivyo kufanya wimbo huo kufungiwa kupigwa kwenye vyombo vya habari nchini Tanzania.
Baada ya wimbo huo kufungiwa yeye na Diamond walitoa wimbo uitwao Tetema, wimbo ambao ulipendwa na watu wengi kuufanya kuwa na watazamaji wengi kwenye mitandao ya kijamii kwa muda mfupi sana.
Jina la kuzaliwa | Raymond Shaban Mwakyusa |
---|---|
Pia anajulikana kama | Rayvanny |
Amezaliwa | 22 Agosti 1993 |
Asili yake | Mbeya,Tanzania |
Aina ya muziki | Bongo Flava,Afro Pop |
Kazi yake | Mwimbaji-mtunzi, mtayarishaji wa rekodi |
Ala | Piano, sauti |
Miaka ya kazi | 2011–mpaka sasa |
Studio | Wasafi Records,Next Level Music |
Ame/Wameshirikiana na | Harmonize, Diamond Platnumz |
Tovuti | Rayvanny |
- MATOKEO ya Kidato cha Nne 2022/2023
- RATIBA kamili ya hatua ya 16 Bora Azam Sports Federation Cup 2023
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
- RATIBA ya Yanga CAF Confederation Cup 2022/2023 hatua ya Makundi
- RATIBA ya Simba CAF Champions League hatua ya Makundi
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
DONWLOAD NIJUZE TV HAPA SISI kwetu Michezo ndiyo Furaha YETU.
Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA
Tags: NEW AUDIO | G Nako Ft. Rayvanny – Tusipangiane | Download Mp3