LIVE USM ALGER VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 4:00 Usiku.

LIVE MAN CITY VS MAN UNITED Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 11:00 Jioni.

NEW AUDIO | Izzo Bizness Ft. Kassim Mganga – I need You | Download Mp3

Filed in Audios by on 12/02/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

NEW AUDIO | Izzo Bizness Ft. Kassim Mganga – I need You | Download Mp3

NEW AUDIO | Izzo Bizness Ft. Kassim Mganga – I need You | Download Mp3

NEW AUDIO | Izzo Bizness Ft. Kassim Mganga – I need You | Download Mp3

Kassim Mganga ni msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye amekuwa kivutio kikubwa kwa wapenzi wa muziki wa mwambao, ambapo hivi sasa anatamba katika video yake ya Somo. Wimbo huo una maneno ya kumfunda mwali na kumuonyesha jinsi ya kuishi katika ndoa.

Mganga anaonekana katika video hiyo akiimba kwa kupokezana na wanamuziki wa bendi ya Kilimanjaro; Nyota Waziri na Waziri Ali.

Kassim ni mmoja wa vijana walioingiza aina tofauti ya ladha kwenye muziki wa Bongo Fleva. Ni mwenye nidhamu kwenye muziki na katika maisha ya kawaida.

Aidha, amekuwa haamini kabisa kwamba ili kuwa nyota katika muziki ni lazima utengeneze kashfa itakayofanya jina lako liwe midomoni mwa watu kwa angalau siku mbili, tatu.

Download | Izzo Bizness Ft. Kassim Mganga – I need You [Mp3 Audio]

Kassim alizaliwa mkoani Tanga katika familia ya watoto wa tatu. Alipata elimu mkoani humo hadi pale baba yake alipohamia jijini Dar es Salaam. Kwa bahati nzuri alipozaliwa na kupata ufahamu, aliwakuta wazazi wake wote wakiwa wanamuziki.

Baba yake, Hemed Salim Mganga, alikuwa mwanamuziki katika bendi ya Legho Stars na mama alikuwa mwimbaji katika vikundi vya Bandari Modern Taarab ya mkoani Tanga na baadaye Coast Modern Taarab.

Kassim alipelekwa kusoma katika Shule ya Msingi Lumumba, akafaulu na kujiunga na Shule ya Sekondari Dar es Salaam, lakini hakuweza kufaulu kwenda kidato cha tano.

Wakati akiwa sekondari, alikuwa akisoma huku akifanya kazi ya muziki.

Aliamua kujiunga katika Chuo cha Elimu ya Biashara jijini Dar es Salaam (CBE), lakini hakumaliza mafunzo.

Baada ya kuacha chuo aliingia mitaani rasmi kupambana na maisha baada ya wazazi wake kuachana.

Huko mitaani alikutana na marafiki wakamshawishi kujifunza kazi ya Clearing and Forwarding.

Kampuni moja ilimuona na kumpa ajira mwaka 2005 hadi 2007, alifanya kazi hiyo kwa muda wa miaka mitatu. Katika kipindi hicho ndipo alipokutana na DJ Muli B.

Baada ya kutoa wimbo wa ‘Haiwezekani’ katika studio ya Saidi Komorie, ndipo aliacha kazi ya Clearing and Forwarding rasmi mwaka 2007 na kujikita katika muziki.

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

DONWLOAD NIJUZE TV HAPA SISI kwetu Michezo ndiyo Furaha YETU.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *