ORODHA ya timu zitakazoshiriki MHOLA MiaMia CUP 2023

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


ORODHA ya timu zitakazoshiriki MHOLA MiaMia CUP 2023

ORODHA ya timu zitakazoshiriki MHOLA MiaMia CUP 2023
Mashindano ya MHOLA MiaMia CUP mwaka 2023 yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 2 June 2023 kwenye Uwanja wa CCM Zimbihile uliopo Wilayani Muleba, Kagera.
Mabingwa Watetezi wa MHOLA MiaMia CUP 2022 Ndangala FC waliondoka na Pesa taslimu Shilingi Milioni 3.
Bingwa wa Mashindano hayo msimu huu ataondoka na Shilingi Milioni 5 ambayo ndiyo zawadi ya Mshindi wa kwanza kwenye MHOLA MiaMia Cup 2023.
Orodha ya timu 16 zitakazoshiriki kwenye MHOLA MiaMia CUP 2023 ni;
1:Katoke FC
2:Ndangala
3:Mganza Academy
4:Rama Sports
5:Lunazi FC
6:Lake FC Bukoba
7:Magata Karutanga
8:Chipukizi Boys Bureza
9:Lunyinya FC
10:Nshambya
11:Yetu Afrika Kihumulo
12:Muleba Heroes
13:Kakindo
14:Bugala FC
15:Kabagunda
16:Biirabo

Nijuze TV App ni Mdhamini wa MHOLA MiaMia CUP 2023
Nijuze Habari Kupitia Nijuze TV App ni Mdhamini wa Mashindano hayo (MHOLA MiaMia CUP 2023) Kupitia Application ya Nijuze TV inayopatikana Playstore Utaweza Kutazama Mechi zote LIVE kwenye Simu yako bila Malipo Popote Duniani.
Donwload Nijuze TV App Utazame Mechi zote LIVE kwenye Simu yako.
Pia unaweza kutembelea nijuzempya.com ili kupata Habari za Michezo na Usajili, Magazeti ya Kila Siku asubuhi, Nafasi za Kazi Kila Siku, Ratiba na Matokeo ya Ligi zote Duniani kila Siku pamoja na Makala Mbali Mbali.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- MFUMO wa maombi ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA) Online
- JINSI ya kupata mikopo ya vijana na wanawake
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA
Tags: Nijuze TV App ni Mdhamini wa MHOLA MiaMia CUP 2023, ORODHA ya timu zitakazoshiriki MHOLA MiaMia CUP 2023