Pichaz: Simba yaifuata Ruvu Shooting
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Soma: Ratiba ya Michezo inayofuata NBC Premier League
MSAFARA wa kikosi cha Simba SC, umeondoka Jijini Dar es salaam kuelekea Jijini Mwanza kwaajili ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League) dhidi ya Ruvu Shooting FC.
Soma: Magazeti ya Jumatano November 17,2021
Mchezo huo unatarajiwa kufanyika Ijumaa hii ya November 19, 2021 kwenye uwanja wa CCM Kirumba kuanzia majira ya saa 10:00 jioni.
NCHI 10 za Afrika zilizofuzu hatua ya mtoano Kufuzu Kombe la Dunia nchini Qatar 2022
Kocha Mkuu wa Klabu hiyo, Pablo Franco amesema kuwa wanakwenda Mwanza wakiwa na matumaini makubwa ya kushinda mchezo huo wa ugenini.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
Kwa upande wa wachezaji, nahodha msaidizi Shomari Kapombe amesema kuwa wao wamejipanga kupata alama tatu kwa kila mchezo ulioko mbele yao.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: NBC Premier League, Pichaz: Simba yaifuata Ruvu Shooting, Ruvu Shooting FC vs Simba SC, Simba SC vs Ruvu Shooting FC