LIVE MBEYA CITY VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 10:00 Jioni.

LIVE SIMBA VS POLISI TANZANIA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 1:00 Usiku. 

PICHAZ: Yanga yaanza mazoezi Tunisia

Filed in Michezo by on 09/02/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

PICHAZ: Yanga yaanza mazoezi Tunisia

PICHAZ: Yanga yaanza mazoezi Tunisia, Yanga SC vs US Monastir CAF  12 February 2023, Yanga vs Us Monastir CAF Confederation League, Yanga vs Us Monastir, Yanga SC vs Monastir tarehe 12 February 2023

PICHAZ: Yanga yaanza mazoezi Tunisia

PICHAZ: Yanga yaanza mazoezi Tunisia

KIKOSI cha Yanga kimeanza rasmi maandalizi ya mchezo wa hatua ya Makundi kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya US Monastirm

Mchezo huo wa kwanza wa kundi D utapigwa Jumapili hii ya Februari 12, 2023 katika Jiji la Tunis Uwanja wa Olympique de Rades kuanzia saa 1:00 Usiku.

Klabu hiyo iliwasili salama mjini Tunis jana Jumatano (Februari 08), kikitokea Dar es salaam Tanzania.

 

Afisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema kuwa hali ya hewa ya jijini Tunis, Tunisia ni nyuzi joto tisa (9). Baridi ni kali sana kama sio mwenyeji wa eneo hilo.

Kamwe amesema hiyo ndiyo sababu kubwa ya Viongozi wa Yanga kuhakikisha timu inafika mapema Tunisia ili Wachezaji wapate fursa ya kuzoea hali ya hewa kabla ya mchezo wao vs US Monastir.

h

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

DONWLOAD NIJUZE TV HAPA SISI kwetu Michezo ndiyo Furaha YETU.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags: , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *