PICHAZ: Yanga yawasili salama Malawi
SHINDA 50,000 BURE KILA SIKU BONYEZA HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
PICHAZ: Yanga yawasili salama Malawi
PICHAZ: Yanga yawasili salama Malawi, Kikosi cha Yanga kimewasili salama nchini Malawi kwaajili ya mchezo wa Kimataifa wa kirafiki dhidi ya Nyasa Big Bullets.
Mchezo huo unatarajiwa kupigwa kesho Alhamisi ya tarehe 06 July 2023 katika siku maadhimisho ya Uhuru wa nchi ya Malawi.
Msafara wa Yanga haujawajumuisha baadhi ya wachezaji muhimu wa kikosi cha kwanza wakipewa mapumziko baada ya kukamilika msimu wa 2022/2023
Aidha Yanga itaingia kambini July 10 kuanza maandalizi ya msimu mpya wa 2023/2024.
Katika hatua nyingine, Rais wa Klabu hiyo, Injinia Hersi Said amesema kuwa mwaliko waliopata kushiriki sherehe za Uhuru huko Malawi ni ishara ya heshima kubwa ambayo timu hiyo inapewa nje ya nchi.
“Ni heshima kubwa kwa Klabu ya Yanga kushiriki kwenye matukio makubwa kama haya, wote tunajua sherehe namba moja kwenye nchi ni uhuru”
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
“Sisi kualikwa ni heshima kubwa kwa Yanga na inaonyesha utayari wa Mataifa mengi kushirikiana na Yanga. Tanzania kuna Klabu nyingi wangeweza kualikwa, ni heshima kubwa sana sisi kualikwa tunawashukuru watu wa Malawi,” alisema Hersi
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
