LIVE MBEYA CITY VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 10:00 Jioni.

LIVE SIMBA VS POLISI TANZANIA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 1:00 Usiku. 

Rais Dkt.Samia afanya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa Leo May 15 2023

Filed in Habari by on 15/05/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

Rais Dkt.Samia afanya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa Leo May 15 2023

Rais Dkt.Samia afanya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa Leo May 15 2023

Rais Dkt.Samia afanya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa Leo May 15 2023

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan Leo May 15, 2023 amefanya uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa kama ifuatavyo:

CPA Amos Gabriel Makalla amehamishwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, kabla alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Bw. Adam Kighoma Malima amehamishwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, kabla alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.

Bi Fatma Abubakar Mwassa amehamishwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, kabla alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

Bw. Albert John Chalamila amehamishwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kabla alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera.

Kwa mujibu wa tarifa iliyotolewa leo May 15, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus uhamisho huu wa Wakuu wa Mikoa unaanza mara moja.

Rais Dkt.Samia afanya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa Leo May 15 2023,Mabadiliko ya wakuu wa mikoa 2023, Rais Samia afanya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa May 15 2023.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags: , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *