LIVE MBEYA CITY VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 10:00 Jioni.

LIVE SIMBA VS POLISI TANZANIA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 1:00 Usiku. 

RAIS Dkt.Samia afanya Uhamisho na Uteuzi Wakuu wa Mikoa na Wilaya

Filed in Habari by on 23/05/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

RAIS Dkt.Samia afanya Uhamisho na Uteuzi Wakuu wa Mikoa na Wilaya

RAIS Dkt.Samia afanya Uhamisho na Uteuzi Wakuu wa Mikoa na Wilaya

RAIS Dkt.Samia afanya Uhamisho na Uteuzi Wakuu wa Mikoa na Wilaya

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya Mabadiliko madogo ya baadhi ya Wakuu wa Mikoa, Uteuzi wa Mkuu wa Mkoa, uhamisho wa Wakuu wa Mikoa na Uteuzi wa Mkuu wa Wilaya.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Mei 23, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bi.Zuhura Yunus.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Mheshimiwa Rais Dkt.Samia amemteua Mhe. Said Mohamed Mtanda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara.

Mhe. Mtanda ni Mkuu wa Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Mtanda anachukua nafasi ya Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee, ambaye atapangiwa majukumu mengine.

Pia, Mhe. Queen Cuthbert Sendiga amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara. Mhe. Sendiga ni Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, anachukua nafasi ya Mhe. Nyerere ambaye amehamishiwa mkoa wa Rukwa.

Aidha, Mhe. Charles Makongoro Nyerere amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa. Mhe. Nyerere ni Mkuu wa Mkoa wa Manyara, anachukua nafasi ya Mhe. Sendiga ambaye amehamishiwa mkoa wa Manyara.

Wakati huo huo,Mheshimiwa Rais Dkt.Samia amemteua Bw. Kenani Kihongosi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo. Anachukua nafasi ya Mhe. Mtanda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara.Mabadiliko, uhamisho na uteuzi huu unaanza mara moja.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, uapisho wa Mkuu wa Mkoa mpya utafanyika tarehe 24 Mei, 2023 saa 10:00 jioni, Ikulu Chamwino.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *