LIVE AL AHLY VS WYDAD AC Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 3:00 Usiku. 

Rais Samia afanya uteuzi

Filed in New by on 12/12/2021 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

Rais Samia Suluhu Hassa amemteua Balozi Ali Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

Uteuzi huo umefanyika jana Jumamosi December 11, 2021 ambapo Balozi Siwa ameteuliwa kwa kipindi cha pili kushika nafasi hiyo kutokana na muda wa bodi hiyo kuisha September 21 mwaka huu.

Aidha Rais Samia pia amewapangia vituo vya kazi mabalozi wanne, ambapo Balozi Said Mussa amekuwa Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, Balozi Fredrick Kibuta amekuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi.

Wengine ni Balozi Said Mshana ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) huku Balozi Alex Kalua akiteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania katika Taifa la Israel.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags: ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *