Nijuze Habari App

RAIS Samia Afanya Uteuzi Bodi Ya Wakurugenzi TCRA

Filed in Habari by on 14/11/2023 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

RAIS Samia Afanya Uteuzi Bodi Ya Wakurugenzi TCRA

RAIS Samia Afanya Uteuzi Bodi Ya Wakurugenzi TCRA

RAIS Samia Afanya Uteuzi Bodi Ya Wakurugenzi TCRA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA.

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Halmashauri Mbali Mbali Leo 14 November 2023

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

NAFASI Mpya za Kazi Kutoka NBC Bank Leo November 2023

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa Rais Samia amemteua Dkt. Jones Killimbe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TCRA.

Pia Rais Samia amemteua Juma Hassan Reli kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TCRA.

Uteuzi huo umeanza tarehe 12 Novemba, 2023.RAIS Samia Afanya Uteuzi Bodi Ya Wakurugenzi TCRA

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *