LIVE USM ALGER VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 4:00 Usiku.

LIVE MAN CITY VS MAN UNITED Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 11:00 Jioni.

RAIS Samia afanya uteuzi mpya 09 February 2023

Filed in Habari by on 09/02/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

RAIS Samia afanya uteuzi mpya 09 February 2023

RAIS Samia afanya uteuzi mpya 09 February 2023

RAIS Samia afanya uteuzi mpya 09 February 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi mpya kama ifuatavyo:-

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Ephraim Balozi Mafuru kuwa Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC).

Kabla ya uteuzi huo Bw. Mafuru alikuwa Mkuu wa Masuala ya Biashara katika kiwanda cha Sukari cha Kilombero, Morogoro.

Uteuzi huu umeanza tarehe 08 Februari, 2023.

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

DONWLOAD NIJUZE TV HAPA SISI kwetu Michezo ndiyo Furaha YETU.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags: , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *