RAIS Samia afanya uteuzi mpya
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Rais Samia Suluhu amemteu Suzan Mkangwa kuwa Kamishna wa Kazi.
Taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais , Ikulu, Jaffar Haniu, iliyotolewa jana January 20,2022 imesema kuwa Suzan anachukua nafasi ya Jenerali Francis Ronald Mbindi ambaye atapangiwa majukumu mengine.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
Kabla ya uteuzi huo, Suzan alikwua Mtumishi katika Ofisi ya Rais Ikulu. Uteuzi huo umeanza rasmi January 17,2020.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya, Rais Samia Hassan Suluhu, Samia Hassan Suluhu