RAIS Samia anunua kila goli la Yanga Milioni 20, atoa ndege ya kwenda na kurudi

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


RAIS Samia anunua kila goli la Yanga Milioni 20, atoa ndege ya kwenda na kurudi

RAIS Samia anunua kila goli la Yanga Milioni 20, atoa ndege ya kwenda na kurudi
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kutoa zawadi ya Shilingi Milioni 20 kwa kila goli litakalofungwa na Young Africans kwenye mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation)
Rais Samia ametoa ahadi hiyo leo May 18, 2023 katika hafla ya Uzinduzi wa mradi Ujenzi wa Minara 21 ya Kampuni ya AZAM (DTT) iliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
“Awali nilikuwa nikitoka Milioni 5 kwa kila goli, na baadae nikaongeza ikawa 10, sasa kila goli ni Shilingi Milioni 20 kwa matokeo ya ushindi” amesema RAIS Samia.
Ikumbukwe kuwa kwenye Nusu Fainali Yanga ilivuna Tsh Milioni 40 kutokana na mabao manne waliyofunga katika hatua hiyo
Aidha Rais Dk Samia aliongeza dau la bonasi kutoka Tsh Milioni 5 hatua ya makundi, Tsh Milioni 10 Nusu Fainali na sasa ni Tsh Milioni 20 kwenye Fainali.
Aidha Rais Samia ameahidi kutoa Ndege itakayowasafirisha Wachezaji, Viongozi Pamoja na Mashabiki kwenda kwenye mchezo wa Fainali na Kuwarudisha.

RAIS Samia anunua kila goli la Yanga Milioni 20, atoa ndege ya kwenda na kurudi
Klabu hiyo inatatajiwa kucheza Fainali hiyo dhidi ya USM Alger ya Algeria, ambapo mchezo wa mkondo wa kwanza utafanyika May 28 Jijini Dar es Salaam na kurudiana June 03, 2023 nchini Algeria.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA
Tags: atoa ndege ya kwenda na kurudi, RAIS Samia anunua kila goli la Yanga Milioni 20