Nijuze Habari App

RASMI: Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi

Filed in Michezo, New, Usajili by on 15/06/2023 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

RASMI: Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi

RASMI: Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi, Nabi aondoka Yanga, Nabi aachana na Yanga rasmi, Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi rasmi, Kocha Nabi aondoka Yanga Sc.

RASMI: Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi

RASMI: Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi, Uongozi wa Young Africans Sports Club umethibitisha kufikia makubaliano ya kuachana na Kocha wao, Nasreddine Nabi baada va kocha huyo kuomba kutoongeza mkataba mpya.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na uongozi huo kupitia Idara ya Habari na Mawasiliano, Juni 14, 2023 ambapo imefafanua kuwa, Mkataba wa Kocha Nasreddine Nabi na Klabu ya Young Africans Sports Club umemalizika mwisho wa msimu huu.

RASMI: Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi, Nabi aondoka Yanga, Nabi aachana na Yanga rasmi, Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi rasmi, Kocha Nabi aondoka Yanga Sc.Baada ya kumalizika kwa mkataba huo, uongozi wa Young Africans Sports Club ulikutana na Kocha Nabi kwaajili ya mazungumzo ya kusaini mkataba mpya, lakini Nabi aliomba kuondoka ili akapate changamoto mpya, imesema taarifa ya Young Africans.

Akiwa Kocha Mkuu wa Young Africans, Nasreddine Nabi amefanikiwa kutwaa mataji mawili ya Ligi Kuu ya NBC, mataji mawili ya Kombe la Shirikisho la Azam, mataji mawili ya Ngao ya Jamii na kuifikisha Timu yetu hatua ya Fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF mwaka huu wa 2023.

RASMI: Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi, Nabi aondoka Yanga, Nabi aachana na Yanga rasmi, Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi rasmi, Kocha Nabi aondoka Yanga Sc.Uongozi wa Young Africans umemshukuru Kocha Nabi kwa mchango wake katika kipindi chote alichofanya kazi kwenye timu hiyo na unamtakia kila la kheri katika safari yake.

Aidha Young Africans imesema kuwa imeanza mchakato wa kumpata Kocha mpya atakayechukua nafasi ya Kocha Nasreddine Nabi.RASMI: Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi, Nabi aondoka Yanga, Nabi aachana na Yanga rasmi, Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi rasmi, Kocha Nabi aondoka Yanga Sc.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

RASMI: Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi, Nabi aondoka Yanga, Nabi aachana na Yanga rasmi, Yanga yaachana na Kocha Nasreddine Nabi rasmi, Kocha Nabi aondoka Yanga Sc.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags: , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *