Ratiba ya Kombe la Mapinduzi 2022
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
MABINGWA watetezi, Young Africans SC wamepangwa Kundi B katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2022 pamoja na wenyeji, Taifa Jang’ombe na KMKM zote za Zanzibar.
Washindi wa pili wa msimu uliopita, Simba SC wao wamepangwa Kundi C pamoja na wenyeji watupu pia, Sellem View na Mlandege FC.
Kundi A lenyewe lina timu mbili za kila upande, Azam FC na Namungo za Bara na Yosso Boys na Meli City za Zanzibar.
Michuano hiyo inatarajiwa kuanza Jumapili ya January 02, mwakani na Simba watacheza Januari 05 dhidi ya Sellem View, wakati Young Africans SC watamenyana na Taifa Jang’ombe siku hiyo hiyo mechi zote zikipigwa Uwanja wa Amaan Mjini Zanzibar.
Nusu fainali ya mashindano hayo makongwe Visiwani Zanzibar itapigwa January 10 huku Fainali yake ikitarajiwa kupigwa January 13,2022.
Makundi ya Mapinduzi Cup 2022.
Kundi A
Azam FC
Namungo FC
Yosso Boys
Meli 4 City
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
Kundi B
Young Africans SC
Taifa Jang’ombe
KMKM
Kundi C
Selem View
Simba SC
Mlandege
Hii hapa ratiba kamili ya Mapinduzi Cup 2022
➡️January 02,2022
17:15 Namungo FC vs Meli 4 City
➡️January 03,2022
16:15 Selem View vs Mlandege FC
20:15 Taifa Jang’ombe vs KMKM
➡️January 04,2022
16:15 Namungo FC vs Yosso Boys
20:15 Azam FC vs Meli 4 City
➡️January 05,2022
16:15 Simba SC vs Selem View
20:15 Young Africans SC vs Taifa Jang’ombe
➡️January 06,2022
16:15 Yosso Boys vs Meli 4 City
20:15 Azam FC vs Namungo FC
➡️January 07,2022
16:00 Young Africans SC vs KMKM
20:15 Simba SC vs Mlandege FC
➡️January 08,2021
16:15 Azam FC vs Yosso Boys
➡️January 10,2022 /Nusu Fainali
16:15 Mshindi wa 1 Group A vs Mshindi wa 1 Group B
20:15 Mshindi wa 2 Group A vs Mshindi wa kwanza Group C
➡️January 13,2022/Fainali
20:15 Mshindi wa Nusu Fainali ya kwanza vs Mshindi wa Nusu Fainali ya Pili.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: Makundi Mapinduzi Cup 2022, Ratiba ya Kombe la Mapinduzi 2022, Ratiba ya Mapinduzi Cup 2022