Nijuze Habari App

Ratiba ya Mechi za Simba mwezi March,2022

Filed in Michezo by on 02/03/2022 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


 

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Ratiba ya Mechi za Simba mwezi March,2022

Simba SC, Simba Sports Club, Msimbazi Dar es salaam, NBC Premier League, Ligi Kuu Tanzania Bara, ASES Mimosas vs Simba SC, RB Berkane vs Simba SC, US Gendarmerie Nationale vs Simba SC, Ligi Kuu, Kombe la Shirikisho Barani Afrika, CAF Confederation Cup, CCC,  Simba SC vs US Gendarmerie Nationale, Simba SC vs ASES Mimosas, Simba SC vs RS Berkane.

BAADA ya kurejea nchini wakitokwa nchini Morocc kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya RS Berkane, wakipoteza kwa mabao 2-0 Simba SC wanatatajiwa kuwa na michezo mitano mwezi huu wa tatu.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Mabingwa hao Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanarejea kwenye Ligi Ijumaa hii ya March 04,2022 wakiwa na jukumu la kutetea ubingwa wao kwa msimu wa tano mfululizo dhidi ya Biashara United FC.

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa majira ya saa moja usiku.

Siku tatu baadae, Mabingwa hao watarejea tena dimba la Mkapa kuikabili Dodoma Jiji FC March 07,2022.

Aidha itakuwa mara yao ya kwanza Simba SC kukutana na aliyekuwa kocha wao wa zamani Masoud Irambona Djuma ambaye kwa sasa anainoa Dodoma Jiji FC.

Baada ya mechi hizo Simba inarejea kwenye ratiba ya kombe la Shirikisho ambapo March 13,2022 watarudi uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili RS Berkane ya Morocco.

Mabingwa watapaa mpaka Ivory Coast kuikabili Asec Mimosas March 20 na baadae kurejea Tanzania kwaajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania FC, mchezo ambao utapigwa March 27 katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *