RATIBA ya safari ya Simba nchini Uturuki
SHINDA 50,000 BURE KILA SIKU BONYEZA HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
RATIBA ya safari ya Simba nchini Uturuki
RATIBA ya safari ya Simba nchini Uturuki, Kikosi cha Simba kinatarajiwa kuondoka nchini kesho Jumanne Julai 11,2023 kuelekea Uturuki kwaajili ya kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2023/2024.
Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu hiyo, Ahmed Ally amesema kuwa Simba itaondoka nchini ikiwa na Wachezaji wake wote waliosajiliwa katika dirisha hili na wale wengine wanaoendelea kikosini kutoka msimu uliopita wa 2022/2023.
Ahmed Ally amebainisha kuwa Simba itaweka kambi ya wiki tatu huko Uturuki kwaajili ya Pre-season na itarejea nchini August 01,2023.
“Tutaweka kambi ya wiki tatu hadi August 01 tutarejea nchini kwaajili ya maandalizi ya Simba Day. Tukiwa Uturuki tunatarajiwa kucheza mechi tatu zakujipima nguvu dhidi ya timu za huko Ulaya”
“Kocha Robertinho tayari amewasili na benchi lake lote la ufundi pia wote wapo tayari kwa safari,” alisema Ahmed
Ahmed amebainisha kuwa bado Simba haijakamilisha utambulisho wa Wachezaji, wengine watatambulishwa wakati wowote kabla ya timu kuondoka hapo kesho.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
